Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Kila MTU kwa Sasa ameanza kulalamikia kuhusu media kukosa balance kwenye mbio za uchaguzi Uchwara, Lakini tukumbuke yaliwahi kutokea Libya.
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
Mkuu inasikitisha sana, hivi sababu ya Msingi ni ipi hasa, maana nilishtuka sana nilivyosikia taarifa hii
 
Nakwambia huyu Magu atapata tabu saaaana.. Japo bado nchi kaishikiria ila anateseka sana huyu mzee
 
Nakwanini unawaze kama ni chama kimoja kiwe ccm.hiyo haipo aise, kama ni ivyo vitatakiwa vifutwe vyote tuanzishe kimoja upya.Naukiona mtu hapendi ushindani jua uwezo mdogo.
Najiuliza tu KWANINI kusiwe na ccm tu ,nani analazimisha tuwe na vyama vingi?
Yaani kuna MANYAU yanaamin Multparty ni UHUJUMU uchumi
 
Mtu mzima unatumia x kwenye maandishi, xilipo, hivi hizi akili mnaziwachaga wapi?
Unajua Kuna upuuzi humu ndani unaandikwa mpaka inakulazimu ujibu haraka na kuignore spelling error! Kikubwa ujumbe ufike...Samahani kwa kukukwaz... Z na X zipo jaribu Sana kwenye keyboard!
 
THE LOST
Hauko serious, na hii ndiyo Hali halisi za wapambe wote wanaoshabikia TL, Mende, Babu Sefu nk!
Wenye kumaanisha na Kuwa na utimamu wa akili wote wapo na Magu na mama Samia!
Oaneni tu wenyewe kwa wenyewe Ila tukiwagundua tunakula vichwa vyenu msituletee najisi' nchini mwetu!
 
hata kipindi cha ufufuko wa Yesu watu walikatazwa kabisa kuongelea hili, hata askari waliambiwa waseme 'ameibiwa kaburini' na wanafunzi wake! Ukiona giza linazidi kuwa kali basi ujue kumekaribia kucha.
 
Wa kulaumiwa hapo ni vyombo vya usalama na ulinzi kwa kutoona mwelekeo wa taifa,kwa nini mtu mmoja anafanya maamuzi kinyume na katiba?
 
Wa kulaumiwa hapo ni vyombo vya usalama na ulinzi kwa kutoona mwelekeo wa taifa,kwa nini mtu mmoja anafanya maamuzi kinyume na katiba?
Asante kwa kuliona hili wale top 5 wao jambo lao moja. Wote ni akilitumboni.
 
Wa kulaumiwa hapo ni vyombo vya usalama na ulinzi kwa kutoona mwelekeo wa taifa,kwa nini mtu mmoja anafanya maamuzi kinyume na katiba?

Mzee anapenda sifa kwahiyo kwanini wwhangaike kumshape mtu asiekuwa tayari?
Kumbuka kwamba nao wanafamilia.

Ila kwa hakika Lisu amebadili upepo wa siasa na mzee haamini kwamba kumbe wananchi hawampendi kiasi hiki. Yaani akiangalia flyover bwawa la maji ya umeme, mandege na reli,alijua ndio kwa hayo atashinda kwa kishindo kumbe waaapi.
Watu wanamchora tu. Hata Lisu asiposhinda lakini kwa hakika Amefahamu kwamba watu hawampendi .
Kuongoza wasio kupenda ni jambo baya sana
 
Ushoga nchi hii umeenea sana na wateja wao ni hawa hawa vigogo. Hakuna pointi hapo.
wapuuzi sana jamaa na propaganda zao za kitoto. kifupi Magu anamakosa mengi sana ambayo ni rahisi sana kumtolea credibility yake kwa wananchi. Kinachomsaidia ni huo ubabe wake wa kutumia vyombo vya usalama na kuwatisha wanahabari. And huwa najiuliza CCM na ujanja wao wote ilikuwaje wakampa nafasi jamaa wa hovyo kama huyu kugombea urais
 
Back
Top Bottom