Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Wa kulaumiwa hapo ni vyombo vya usalama na ulinzi kwa kutoona mwelekeo wa taifa,kwa nini mtu mmoja anafanya maamuzi kinyume na katiba?
Hao viongozi wa hivyo vyombo wanateuliwa na nani?
 
TBC kuna balance ya habari?? Ni lini wamewahi kurusha taarifa za upinzani isipokua zile mbaya! O tolerance inakuja hivi punde!
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
Hii inanisikitisha sana. Wale wajuzi zaidi tusaidieni alternative ways kuendelea kupata habar toka BBC, DW, VOA etc pale watawala watakapozuia local media kujiunga na vyombo hivi vya nje.
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!

Tutapopata serikali yenye mgombea:

IMG_20200804_210728_515.jpg


Maisha yatakuwa murua sana.

Eeh mola wetu na ukazisikie sala zetu.
 
Moja wa wahanga wakubwa katika utawala wowote wa kiimla ni vyombo vya habari sambamba na vyama vya upinzani na wanaharakati.

Hilo halina ubishi, tulikuwa tunayasikia huko kwingineko lkn sasa yametufika. Ukiona mwenzako anateseka ama kweli usishangilie hujui ya kesho.
 
Kiingereza hajui halafu analazimisha kufungia radio zinazotangaza kwa lugha kiswahili???
kuna siku watanzania wote watalazimishwa kuongea kisukuma ili mabeberu wasituelewe wakaingilia mipango yetu.....useless and primitive leadership!
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!

Mnataka vyombo vya habari viwe vinatoa taarifa za uongo ndo uwe uhuru wa habali?
Je huo uongo ukishapewa unapata faida gani?
Au mnanufaika nao vipi?
Juzi mnyika kamdanganya Tundu lisu kuwa magufuli kakopa tirioni 41 je huo ndo uhuru wa habali mnaoutaka?
Je huo sio uongo?
Mkipenda inchi iwe ya waongo sidhani kama kutakuwa na maendeleo na ndio maana tanzania kwa uongouongo mnaongoza.
Hata kwa ngazi ya jamii uongo ni mkubwa badala ya watu kufanya kazi wao wanabaki kuongea watu.
Vyombo vya habali vinatakiwa kutumia taaruma yao na si mazoea ili walete mabadiliko.
Sijawahi kuona waandishi wa habali tanzania hata wakijaribu kuchambuwa hotuba za viongozi kwa maslahi ya nchi.

Mathalani mgombea katoa ahadi, je hiyo ahadi inaweza kutekerezwa kwa asilimia nagapi? Je ina faida kiasi gani je ina hasara kiasi gani ikitekerezwa ili wananchi tuamue kukingana na data zenye faida.
 
Ukiomba kibali sasa unaweza kukipata baada ya uchaguzi Oktoba 28. Kutawekwa urasimu wa makusudi kwa makusudi maalum.

Yafaa kuwanunulia simple smartphones vijana ili kusambaza habari kipindi hiki cha uchaguzi. Hili lifanywe na kila mtu mpenda mabadiliko kwenye familia na jamaa zake.
Hivi mtu anayependwa na wanyonge wote wa Tz huku akiwa ameleta maendeleo ambayo hayajawahi kuonekana Nchini kwanini anahangaika kiasi hiki cha kufungia medias?
 
Hao TCRA wamewapa wapinzani wa JPM hoja nyingine kwenye kampeni za urais mwaka huu. Kwa miaka hii 5 tumeona uminyaji mkubwa wa kusambaza na kupata habari, sijui huu uoga unatokea wapi.

Vv
Kweli kabisa. Tena hoja hii ni msumari kweli kweli. We ngoja tu utaona
 
Mnataka vyombo vya habari viwe vinatoa taarifa za uongo ndo uwe uhuru wa habali?
Je huo uongo ukishapewa unapata faida gani?
Au mnanufaika nao vipi?
Juzi mnyika kamdanganya Tundu lisu kuwa magufuli kakopa tirioni 41 je huo ndo uhuru wa habali mnaoutaka?
Je huo sio uongo?
Mkipenda inchi iwe ya waongo sidhani kama kutakuwa na maendeleo na ndio maana tanzania kwa uongouongo mnaongoza.
Hata kwa ngazi ya jamii uongo ni mkubwa badala ya watu kufanya kazi wao wanabaki kuongea watu.
Vyombo vya habali vinatakiwa kutumia taaruma yao na si mazoea ili walete mabadiliko.
Sijawahi kuona waandishi wa habali tanzania hata wakijaribu kuchambuwa hotuba za viongozi kwa maslahi ya nchi.

Mathalani mgombea katoa ahadi, je hiyo ahadi inaweza kutekerezwa kwa asilimia nagapi? Je ina faida kiasi gani je ina hasara kiasi gani ikitekerezwa ili wananchi tuamue kukingana na data zenye faida.
Zikitolewa habari za uongo kuna vyombo vya sheria vyenye mamlaka ya kusema huu ni uongo au sio. Hatuwezi kuambiwa na CCM upi ni uongo na upi ni ukweli.
 
Back
Top Bottom