Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

Msiwalaumu TCRA, wao wanafanya kazi kwa kupewa muongozo, mkumbuke nchi hii mwenye mamlaka ya kila kitu ni ndg presidaa, so yajayo yanafurahisha sana.

Kagame, M7, Marehemu waliwi fanya kama hili tunalo lalamikia ili kufikia kile walichokuwa nacho so kila raia wa tz ajue tunakoelekea na kwa nini linafanyika kipindi hiki kabla ya octoba!.
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
CCM wajue hii fungia fungia vyombo vya Habari inakera Hadi Wana CCM, wasfikiri wanakomoa upinzani tuu. Mimi mwenyewe nimekerwa Hadi Basi maana hobby yangu ni kusikiliza habari toka vyombo vya kimataifa.
Kwa Sasa nasitisha kuipenda CCM na Magufuli Hadi watakapo ruhusu habari za mashirika ya utangazaji ya kimataifa.
Poor CCM uoga wa Nini? Mnatukera Hadi tunaowasupport.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani wakisha apply na kupata permit kutambuliwa rasmi ujiungaji wao na media za nje si unaruhusiwa kujiunga na radio/tv zozote za nje ili ziweze kuhabarisha issues about Tanzania na dunia.
Wajisajili tu waendelee tu na uhabarishaji.
BTW Kuna BBC online, etc pia Kuna radio za nchi jirani hujiunga na hizi radio/tv washirika.
 
CCM wajue hii fungia fungia vyombo vya Habari inakera Hadi Wana CCM, wasfikiri wanakomoa upinzani tuu. Mimi mwenyewe nimekerwa Hadi Basi maana hobby yangu ni kusikiliza habari toka vyombo vya kimataifa.
Kwa Sasa nasitisha kuipenda CCM na Magufuli Hadi watakapo ruhusu habari za mashirika ya utangazaji ya kimataifa.
Poor CCM uoga wa Nini? Mnatukera Hadi tunaowasupport.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo wamekuera leo??? Ndugu yangu ondoka huko. Njia pekee CCM itabadirika kweli ni pale wakikaa benchi at least kwa miaka 10. Hapo ndo watajifunza. Tena Bora CCM ya zamani.
 
Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?

Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?

Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.

Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.

Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
Ukiomba kibali sasa unaweza kukipata baada ya uchaguzi Oktoba 28. Kutawekwa urasimu wa makusudi kwa makusudi maalum.

Yafaa kuwanunulia simple smartphones vijana ili kusambaza habari kipindi hiki cha uchaguzi. Hili lifanywe na kila mtu mpenda mabadiliko kwenye familia na jamaa zake.
 
Tena maamuzi haya yalipaswa yafanywe mapema zaidi, maana Kama wanatumia vyombo vya habari za kimataifa Bora tubaki na RTD tu hakuna namna😂🤣😂! Hakuna kucheka na nyani😠! Msioweza kuishi bila hivyo vyombo vya habari vya nje nendeni huko xilipo mzifuate!

Mtu mzima unatumia x kwenye maandishi, xilipo, hivi hizi akili mnaziwachaga wapi?
 
Hata wazime internet.. wananchi tuko na Lissu. This time hatuambiwi mitu aisee.. tushafanya maamuzi.
Lengo lao ndugu na jamaa wasio na internet huko vijijini wasijue chochote kupitia redio Kama BBC, DW, VOA, nk ili waendelee kudanganywa na kusifia utawala dhalimu
 
Back
Top Bottom