Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wajue hii fungia fungia vyombo vya Habari inakera Hadi Wana CCM, wasfikiri wanakomoa upinzani tuu. Mimi mwenyewe nimekerwa Hadi Basi maana hobby yangu ni kusikiliza habari toka vyombo vya kimataifa.Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?
Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?
Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.
Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.
Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
Kwahiyo wote tusikilize radio Japan?Mbona radio zinazotangaza kwa kiswahili huko japan zinabalance story?
Wewe ndo wamekuera leo??? Ndugu yangu ondoka huko. Njia pekee CCM itabadirika kweli ni pale wakikaa benchi at least kwa miaka 10. Hapo ndo watajifunza. Tena Bora CCM ya zamani.CCM wajue hii fungia fungia vyombo vya Habari inakera Hadi Wana CCM, wasfikiri wanakomoa upinzani tuu. Mimi mwenyewe nimekerwa Hadi Basi maana hobby yangu ni kusikiliza habari toka vyombo vya kimataifa.
Kwa Sasa nasitisha kuipenda CCM na Magufuli Hadi watakapo ruhusu habari za mashirika ya utangazaji ya kimataifa.
Poor CCM uoga wa Nini? Mnatukera Hadi tunaowasupport.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sasa wamezidiWewe ndo wamekuera leo??? Ndugu yangu ondoka huko. Njia pekee CCM itabadirika kweli ni pale wakikaa benchi at least kwa miaka 10. Hapo ndo watajifunza. Tena Bora CCM ya zamani.!
TBC ibalance story ya LisuKwani ya KWETU hapa inabslance story?
Yaani ndo watu wajue kuwa CCM ina hali mbaya. Kama makada maarufu wanakataa udhalimu wao, mwaka huu wataponea wapi???
Hapo ndo watakaribisha vikundi rasmi vya uasi!!Bado internet tu, tugeukie uelekeo wa north korea.
This guy aende aisee
Ukiomba kibali sasa unaweza kukipata baada ya uchaguzi Oktoba 28. Kutawekwa urasimu wa makusudi kwa makusudi maalum.Hofu yote hii ni ya nini? Mmeondoa "local chanels" kwenye ving'amuzi vyote ikiwemo Dstv l, mmebakiza TBC tu. Mmelazimisha nchi nzima itizame TBC. Hamjaridhika, sasa mmehamia kwenye radio. Mnatunga kanuni za kuzuia watu kusikiliza radio za nje? Lengo ni nini?
Yani sasa hivi Dira ya Dunia ya BBC, Meza ya duara ya DW na habari za ulimwengu za VOA hatutazisikia tena hadi kibali kutoka TCRA? Ujinga gani huu?
Halafu hizi radio za nje zinazotangaza kwa kiswahili zimesaidia sana kukuza Kiswahili kimataifa. Zilianza BBC, DW na VOA lakini leo radio zenye idhaa ya Kiswahili ni nyingi sana duniani. Radio Japan, Radio Tehran, Radio China International, Idhaa ya Kiswahili ya umoja wa mataifa, Radio France Internationale etc.
Na watanzania wengi wamepata ajira kwenye vyombo hivi vya habari. Kupitia radio hizi Kiswahili kinasikilizwa sana nchi za jirani. Nenda Burundi uone watu wanavyosikikiza matangazo ya mchana ya DW, nenda Uganda uone watu wanavyosikiliza Dira ya dunia ya BBC. Kiswahili kinakua sana. Lakini leo kwa sababu ya ubinafsi tunazuia vyombo hivyo kusikika hapa nchini. Tunataka watu wote wasikilize kuhusu reli ya SGR na Flyover za Ubungo.
Hii si sawa hata kidogo. Tunakoelekea ni pabaya sana. Dalili mojawapo ya kupoteza uhuru wa habari ni kulazimisha kila mtu asikilize mawazo yako, na kukataa kusikiliza mawazo mbadala. Tuendelee kukaa kimya hadi siku tutakayoambiwa huruhusiwi kukohoa hadi kibali cha Muhimbili. Labda ndo tutapata akili.!
Tena maamuzi haya yalipaswa yafanywe mapema zaidi, maana Kama wanatumia vyombo vya habari za kimataifa Bora tubaki na RTD tu hakuna namna😂🤣😂! Hakuna kucheka na nyani😠! Msioweza kuishi bila hivyo vyombo vya habari vya nje nendeni huko xilipo mzifuate!
Acha Uzuzu TBC huwa inabalance story????Mfano radio ipi??
Mbona zinazotangaza Kiswahili kutoka Tanzania hazi balance story?Mbona radio zinazotangaza kwa kiswahili huko japan zinabalance story?
Hakuna utumwa mbaya kama wakujiona upo freeMbona cd yenyewe ya fly over na mengineyo imeaza kuskrach kutaaaambo yaani wananchi wanataka full freedom sio mazingaombwe hayo
Upinzani ni uhalifuNajiuliza tu KWANINI kusiwe na ccm tu ,nani analazimisha tuwe na vyama vingi?
Yaani kuna MANYAU yanaamin Multparty ni UHUJUMU uchumi
Lengo lao ndugu na jamaa wasio na internet huko vijijini wasijue chochote kupitia redio Kama BBC, DW, VOA, nk ili waendelee kudanganywa na kusifia utawala dhalimuHata wazime internet.. wananchi tuko na Lissu. This time hatuambiwi mitu aisee.. tushafanya maamuzi.
Nilimuuliza huyo mpuuzi??? Tuko pamoja nduguAcha Uzuzu TBC huwa inabalance story????