Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwakuwa wengine wana covid wengine wana malaria.Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?
KabisaSiasa za uongo uongo zimetamalaki😁
Slaa alihujumiwa na uongozi wa cdm, wakati akina Mdee waliiuhujumu cdm hadi kuipeleka mahakamani. Kipi huelewi hapo?Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?
Slaa huyu aliyeenda kuchukua hela zake za usaliti pale Rwanda akiwa na MapumbaSlaa alihujumiwa na uongozi wa cdm, wakati akina Mdee waliiuhujumu cdm hadi kuipeleka mahakamani. Kipi huelewi hapo?
Sielewi kwamba slaa alihujumiwa? Lissu alisema haya wakati slaa analaumu chadema. Lissu alisema mkewe ndio aliemshawishi slaa kuhama chadem. Juzi lissu kasema slaa ndio aliomleta Lowasa chadema. Kahujumiwa vipiSlaa alihujumiwa na uongozi wa cdm, wakati akina Mdee waliiuhujumu cdm hadi kuipeleka mahakamani. Kipi huelewi hapo?
Alisema LEMA anataka Slaa aingizwe kamati kuuCCM ndiyo imewafadhili hao wote kina Mdee na Mzee wetu kukijeruhi chama kwa nyakati tofauti.
Sasa Lissu kumtetea mtu si kwamba ndiyo msimamo wa chama yeye ni wakili hata Mdee akikamatwa Lissu anaweza kumsaidia ni wakili na ana utashi wake.
Dogo,Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?
Vipi jimbo lipo wazi? yaani umeolewa au bado?Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?
Huo ndio msimamo wa chamaCCM ndiyo imewafadhili hao wote kina Mdee na Mzee wetu kukijeruhi chama kwa nyakati tofauti.
Sasa Lissu kumtetea mtu si kwamba ndiyo msimamo wa chama yeye ni wakili hata Mdee akikamatwa Lissu anaweza kumsaidia ni wakili na ana utashi wake.
NdioHivi ruzuku kutoka serikalini ya wabunge 19 upinzani inaenda chadema??
Sielewi kwamba slaa alihujumiwa? Lissu alisema haya wakati slaa analaumu chadema. Lissu alisema mkewe ndio aliemshawishi slaa kuhama chadem. Juzi lissu kasema slaa ndio aliomleta Lowasa chadema. Kahujumiwa vipi
Babu yako leo atakuwa wapi?Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?
Kama slaa mwenyewe ameamua kurudi ni afadhali kuso lake ni dogo kuliko covid 19 sababu za slaa kuondoka zilifahamika lakini hawa walikisaliti chama kwa msaada wa mihimili ya nchi.Utafanyaje mkeo akikusaliti mbele ya mume mwingine?Kwanini mnawakataa Halima mdee na kundi lake lkn wakati huo huo mnamkubali Dr Slaa. Au kwa sababu Dr slaa amepingana na mbowe ktk kampeni za uchaguzi wa ndani ndio mnamuona ndio anafaa kurudishwa chadema?