Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Siasa za kutoa fomu moja ya kugombea uongozi huko dodomaSiasa za uongo uongo zimetamalakiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa za kutoa fomu moja ya kugombea uongozi huko dodomaSiasa za uongo uongo zimetamalakiš
Uwezo wa nchi unapimwa kwa mambo ya msingi.Chadema ni sawa na wale ndege wanaitwa "chichi dodo" aliyesimuliwa katika kitabu cha "The Beautiful ones are not yet Born" Ndege hao hawapendi kinyesi, lakini wanakula funza wanaotokea baada ya kinyesi kuoza.
Hawawataki Halima na wenzake, lakini wanalamba ruzuku inayotokana na ubunge wao. Hawaipendi CCM lakini Lissu alikula milioni tano ya CCM akanunulie gari. Walimpiga madongo Mbowe, kwamba ana fedha za Abdul na CCM kazileta chadema, lakini matisheti waliyovaa yalishonwa na kununuliwa na Mbowe na wakati wanavaa hawakuuliza fedha ya kuyanunua zimetoka wapi, wakawa wanacheka cheka huku wanavaa
Ruzuku ni matokeo ya kura za urais. Tundu Lissu alipata kura zenye kuleta ruzuku. Ni haki yaoHivi ruzuku kutoka serikalini ya wabunge 19 upinzani inaenda chadema??
Mambo ya ulinzi yana mazingira yake yanaposhughulikiwaUwezo wa nchi unapimwa kwa mambo ya msingi.
Nchi ambayo bado inapewa misaada ya matundu ya vyoo na ambayo inapoteza watoto wadogo wenye damu ya kisiasa inayochemka kama akina Soka nakuhakikishia, nchi hiyo ni failure ktk anga zote.
Akili isiyoweza kusolve matatizo ya msingi kama vile maji, matundu ya vyoo, madawati usitegemee inaweza kuwa nzuri kwenye mambo complex kama ya ulinzi ktk geopolitics.