Swali kwa upinzani: Je, tatizo lenu ni Magufuli au CCM?

Swali kwa upinzani: Je, tatizo lenu ni Magufuli au CCM?

Upinzani wenyewe ni tatizo.

Usiwaulize maswali magumu sana utawachanganya.
 
Hapa sio nyumbani kwa mkeo ambapo utajibiwa utakavyo.
Naona ndugu umeamua kuchagua lugha inayo kupendeza kwa ajili yangu, asante kwa hilo na karibu kwa wakati mwingine ukistaarabika.
 
Ningependa kuwa karibisha wafuasi wote wa siasa za upinzani hapa nchini katika hili swali langu fupi kwa majibu yao.

SWALI:
Tatizo sugu la wapinzani wa hapa nchini je ni Magufuli na utawala wake wa awamu iliyo pita [ awamu ya tano ] au tatizo ni CCM yote ?

KARIBUNI

Wote
 
Ningependa kuwa karibisha wafuasi wote wa siasa za upinzani hapa nchini katika hili swali langu fupi kwa majibu yao.

SWALI:
Tatizo sugu la wapinzani wa hapa nchini je ni Magufuli na utawala wake wa awamu iliyo pita [ awamu ya tano ] au tatizo ni CCM yote ?

KARIBUNI
Maiti ovu
 
Ningependa kuwa karibisha wafuasi wote wa siasa za upinzani hapa nchini katika hili swali langu fupi kwa majibu yao.

SWALI:
Tatizo sugu la wapinzani wa hapa nchini je ni Magufuli na utawala wake wa awamu iliyo pita [ awamu ya tano ] au tatizo ni CCM yote ?

KARIBUNI
Hivi kuna tofauti kati ya ccm na magufuli?
 
Back
Top Bottom