Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Waumini wapi ? Wa Kihundu kwa mfano?
Wanazuoni wapi?
Hoja yangu ni fupi kuhusu jambo hili. Divine attributes zinazojadiliwa na wanazuoni ni zile ambazo zinatajwa na waumini (subjective conceptions of God). Na hizo ndizo tunaweza kujadili.

Hivyo, kusema kwamba Mungu alikuwepo kabla ya wanazuoni au vinginevyo, sio jibu kwa kitendawili kilicho mbele yetu.

Yaani, katika ngazi ya udadavuzi kama wanazuoni, tunachohitaji ni seti ya sifa za kimungu ambazo hazikanyagani.

Ni kwa jinsi hii tunatofautisha miungu ya kweli na miungu inayochongwa na viongozi wa kidini ambao ni matapeli wa kiteolojia.
 
Unathibitishaje mungu wako ni wa kweli na ya wengine ni utapeli tu wa viongozi wa kidini?
Kama wewe unaweza kuthibitisha hivyo unafikiri wao hawawezi pia kuthibitisha mungu wako ni wa kitapeli?
Hoja yangu ni fupi kuhusu jambo hili. Divine attributes zinazojadiliwa na wanazuoni ni zile ambazo zinatajwa na waumini (subjective conceptions of God). Na hizo ndizo tunaweza kujadili.

Hivyo, kusema kwamba Mungu alikuwepo kabla ya wanazuoni au vinginevyo, sio jibu kwa kitendawili kilicho mbele yetu.

Yaani, katika ngazi ya udadavuzi kama wanazuoni, tunachohitaji ni seti ya sifa za kimungu ambazo hazikanyagani.

Ni kwa jinsi hii tunatofautisha miungu ya kweli na miungu inayochongwa na viongozi wa kidini ambao ni matapeli wa kiteolojia.
 
Mafuriko inaweza kuwa adhabu sadistic?
Ndiyo. Kuna adhabu ambazo sio sadistic. Maumivu ni sehemu ya uovu wa kifizikia na kisaikolojia. Kuchagua uovu wa kifizikia na kisaikolojia kama njia ya kukamilisha lengo jema kimaadili ni kujiweka katika kundi la wattu wanaotendaji maovu ya kimaadili.
 
Waumini wapi ? Wa Kihundu kwa mfano?
Wanazuoni wapi?
Wala usifikirie mbali. Tuanzie kwenye baadhi ya ibara za kanuni ya imani ya Atanazius (Atahanasian Creed), yenye ibara 44, na inayopaswa kuaminiwa na Wakatoliki wote duniani:

1. The Godhead is God
2. God is triune.
3. The Father is God, and The Son is God, and The Holy Spirit is God.
4. The Father is not triune, and The Son is not triune, and The Holy Spirit is not triune.
5. The Father is not the Son, and The Son is not the Holy Spirit, and The Holy Spirit is not the Father.
6. There is only one God.

Controversial observations:

1. Statements 2, 3 and 4 are logically incompatible, since they imply that, each of the Father, The Son, and The Holy Spirit is triune, and that none of them is triune. This is a contradiction, as a proposition cannot be true and false at the same time and in the same respect.

2. Statements 3 and 6 are logically incompatible, since they imply that there are three Gods and that there is one God simultaneously. This is a contradiction.

3. Statements 1, 3 and 6 are logically incompatible, since they imply that there are four Gods and that there is one God simultaneously. This is a contradiction.

Hapa nimetumia divine atributes mbili tu: yaani divine unity and divine tri-unity.

Umeona mgogoro wa kimantiki na kimetafizikia?

Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyofanya kazi ya intellectual decolonisation.

Yaani, inafika mahali unajiuliza swali: Hivi, hawa makuhani wetu ni matapeli, vilaza au wanaujua utata huu lakini wanaganga njaa?
 
Allah anasema "tume", huo ni wingi!
Wala usifikiri sana kuhusu waumini wapi na wanazuoni gani. Fikiri juu ya hoja zenye mkanganyiko kama hii hapa:

1. The Godhead is God
2. God is triune.
3. The Father is God, The Son is God, The Holy Spirit is God.
4. The Father is not triune, The Son is not triune, The Holy Spirit is not triune.
5. The Father is not the Son, The Son is not the Holy Spirit, The Holy Spirit is not the Father.
6. There is only one God.

Observation:

1. Statements 2, 3 and 4 are logically incompatible. Thus, either God is not triune or Father is not God, The Son is not God, and The Holy Spirit is not God

2. Staments 3 and 6 are logically incompatible, since they imply that there are three Gods and one God simultaneously. Either there are three Gods or or one God.

3. Staments 1, 3 and 6 are logically incompatible, since they imply that there are four Gods and one God simultaneously. Either there are four or three or one God.

Hapa nimetumia divine atribute mbili tu: divine unity and divine triunuty.
Umeona mgogoro wa kimantiki?
Hivyo ndivyo wanazuoni wanavyofanya kazi...
Tujielekeze kwenye hoja!
 
Mbowe ndiye alikuambia haya?
Kuomba ni HAKI aliyo nayo muumini wa Mungu fulani.
Kama siamini kwamba kuna ng'ombe siwezi kuomba "maziwa" ya ng'ombe.
Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo na ndio maana sio Mkatoliki. Kwa hiyo hawezi na hapaswi kuomba wala kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu.
Mbowe anaamini kwamba Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri. Kwa hiyo anaweza kuomba na kuombewa "maziwa" kutoka kwa Mungu huyu pekee.
 
Mbowe ndiye alikuambia haya?
Duh!

Tatizo liko wapo katika hoja hii hadi uanze kutafuta authority ya Mbowe?

1. Kuomba kitu kutoka kwa mtu fulani ni uamuzi unaoanzia katika imani kwamba mtu huyo yupo na anaweza kutimiza ombi.

2. Mfano, kama mtu haamini kwamba kuna ng'ombe wa bluu hawezi kuomba kupewa "maziwa" ya ng'ombe wa bluu.

3. Kwa hiyo mtu huyo hapaswi kuombewa "maziwa" kutoka kwa ng'ombe wa bluu.

Ni vivyo hivyo, kuhusu suala la Mbowe.

4. Mbowe sio Mkatoliki hadi leo, na hivyo, kimantiki tu, anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo.

5. Kwa sababu hii, Mbowe hawezi kuomba "baraka" kutoka kwa Mungu wa Wakatoliki, ambaye kwa mtazamo wa Mbowe ni Mungu hewa.

6. Kwa hiyo Mbowe hapaswi kuombewa "baraka" kutoka kwa Mungu wa Wakatoliki, ambaye kwa mtazamo wa Mbowe ni Mungu hewa.

Ukweli ni kwamba:

7. Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri hadi leo.

8. Kwa hiyo anaweza kuomba na anapaswa kuombewa "baraka" kutoka kwa Mungu huyu pekee.

Dokezo gani lina utata hadi uanze kutafuta ushahidi wa ziada?
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa viongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye parokia za Kanisa Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Kama mambo haya yangefanyika kabla ya Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoendeshwa na Martin Luther wa Ujerumani, yangeweza kuingia akilini. Wakati huo Kanisa la Kikristo lilikuwa moja. Lakini hali sio hivyo leo. Ukweli wa leo ukom hivi:

  1. Kwa mujibu wa kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kila mahali penye utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na vitu vingi, na kila mahali pasipo na tofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na kitu kimoja.
  2. Kuna utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki.
  3. Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki, ni Mungu tofauti, na uwepo wa kila Mungu aliyetajwa unakubaliwa kwa vitendo na wafuasi wa Mungu huyo na kukanwa kwa vitendo na watu wasio wafuasi wa Mungu huyo.
That is:
  1. According to the principle of necessary and sufficient conditions for the individuality of an entity, wherever there is property difference between two entities there is numeric diversity and that wherever there is absolute property similarity between two entities there is numerical identity.
  2. There are property differences between Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God , etc
  3. Thus, Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God, and so on, are distinct Gods, where the existence of each God is practically asserted by its followers and practically denied by its non-followers.
Accordingly:
  • For a catholic X, a Lutheran God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a Lutheran God, X is an atheist.
Again:
  • For a Lutheran Y, a Catholic God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a catholic God, Y is an atheist.
In effect:
  • We may pray for atheists so that they may be converted from unbelief status to belief status and not otherwise.
  • For these reasons, all Lutherans including Mbowe are atheists with respect to Catholic God.
  • And all Catholics, including Pope Francis, are atheists with respect to Lutheran God.
Finally:
  • The god of the Old Testament whose third person is disincarnated is not identical with the god of the New Testament whose third person is incarnated ;
  • A contraceptophobic god of the Catholic Church is not identical with a contraceptophilic god of the Lutheran Church;
  • A god whose third person comes from the father and the son, as taught by the Western Christian Churches, is not identical with a god whose third person comes from the father alone as taught by the Eastern Christian Churches.
  • A god who prefers to be worshipped on Sunday is not identical with a god who prefers to be worshipped on Saturday;
  • A god who prefers to be worshipped in Friday is not identical with a god who prefers to be worshipped in another day;
  • A god who prohibits his followers to eat pork is not identical with a god who allows his followers to eat pork;
This is what the elementary metaphysical principle of individuation, properly understood, teaches us.

Sasa swali kuu na majibu yangu

Kwa hiyo basi, ninawaalika Viongozi wa Chadema kujiuliza na kujibu swali lifuatalo: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa kuzingatia matakwa yakanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kama ilivyofafanuliwa hapo juu, binafsi napendekeza yafuatayo:
  • Kwamba, Mungu wa KKKT anayeabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki anayeabudiwa na wafuasi wa Mbowe ambao ni Wakatoliki;
  • Kwamba, Mbowe amekuwa anamkana kwa mawazo, kwa maneno na kwa vitendo Mungu wa Wakatoliki.
  • Na kwamba, kwa sababu hiyo, Mbowe hana haki ya kuombewa na wafuasi wake kupitia kwa Mungu asiyemwamini.
Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema wanapaswa kuacha maigizo kama yale ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Vinginevyo watayafikisha makanisa mahali ambapo kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho yake, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki.

Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Nijuavyo mimi, ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Kanuni nne za kuongoza mjadala:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu hapo juu na kulitendea haki, hapa chini nafafanua kanuni NNE zinazopaswa kuongoza mjadala huu. Kanuni hizo ni:
  • kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti (principle of identity),
  • kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika (principle of difference), na
  • kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu.
  • kanuni ya sifa za lazima katika utambulisho wa kitu (principle of necessity)
  • Kanuni ya sifa zenye kutosheleza utambulisho wa kitu (principle of sufficiency).
Kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika

Pili, ni kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilarity of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea vitu tofauti kwa mujibu wa utaratibu wa kuhesabu, basi, hiyo maana yake ni kwamba, sio kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu tofauti na kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja P, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja Q, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu

Na tatu, ni kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu. Yaani necessary and sufficient definitions.

Ukitaka kukitambulisha kitu kama vile kitu chenye umbo mraba, kwa namna ambayo inatofautisha umbo mraba na vitu baki, lazima kutaja vigezo vinavyomwezesha msikilizaji kufanya mambo mawili.

Mosi, ni kutambua mraba ni kitu gani. Na pili ni kutambua mraba sio kitu gani.

Kazi hizi mbili zinafanyika kwa njia ya kutaja vigezo ambavyo ni vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu kinachoongelewa.

Kuhusu vigezo vya lazima, tuchukue mfano wa fasili ya kitu chenye umbe la mraba. Ni lazima kila mraba uwe na pande nne.

Lakini, sifa hii haitoshi kuutofautisha mraba na maumbo baki kama vile mstatili ambayo pia yanazo pande nne.

Na kwa upande mwingine, kuna vigezo ambavyo vinatosheleza kukitambulisha kitu, lakini sio vya lazima kwa ajili ya utambulisho huo.

Mfano, katika mazingira ya shule mwanafunzi anayepata alama ya A anapasi kozi.

Lakini, alama ya A sio alama ya lazima ili kumfanya wanafunzi huyo apasi kozi. Anaweza kupasi kwa kupata alama ya B, C au hata alama D.

Hivyo, kupata alama ya A ni kigezo cha lazima katika kupasi kozi, lakini sio kigezo kinachotosheleza matakawa ya kumpa mwanafunzi sifa ya kuhesabiwa amepasi mtihani, kwani hata wale wanaopata B, C na D hupasi pia.

Kwa sababu hii, kwa ajili ya kueleza mraba ni kitu gani na sio kitu gani kwa mpigo, tunahitaji mambo mawili:

(1) kutaja kigezo kimoja kimoja ambacho ni lazima kihusike katika kutambulisha mraba.

Na (2) kutaja seti ya vigezo vyote ambavyo kwa pamoja vitatosheleza kutofautisha mraba na maumbo baki yenye pande nne.

Kwa hakika, kila mraba lazima uwe na sifa zifuatazo kwa mpigo: pande nne, pande zilizo nyooka, pande zinazolingana, pande zilizoungana katika ncha zake, pale zilizo katika ubapa mmoja, na lazima uwe na kona nne zenye nyuzo 90 kila moja.

Kanuni hizi tatu zilizotajwa hapo juu, zinapaswa kutumika katika kutambua na kutambulisha kitu chochote kama vile mbuzi, kondoo, mti, mtu, miungu, na kadhalika.

Hivyo basi:

Ukweli ndio huo, na hayo ndiyo madhara yasiyotarajiwa yaliyoletwa na Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoaasisiwa na Matrin Luther wa Ujerumani.

Kwa uelewa zaidi soma kitabu: The Unintended Reformation: How a Religious Revolution Secularized Society by Brad S. Gregory (Attached).
Mkuu bona watafuta laana,isikuwa na sababu, kwani duniani Kuna Mungu wangapi?
 
Duh!

Tatizo liko wapo katika hoja hii hadi uanze kutafuta authority ya Mbowe?

1. Kuomba kitu kutoka kwa mtu fulani ni uamuzi unaoanzia katika imani kwamba mtu huyo yupo na anaweza kutimiza ombi.

2. Mfano, kama mtu haamini kwamba kuna ng'ombe wa bluu hawezi kuomba kupewa "maziwa" ya ng'ombe wa bluu.

3. Kwa hiyo mtu huyo hapaswi kuombewa "maziwa" kutoka kwa ng'ombe wa bluu.

Ni vivyo hivyo, kuhusu suala la Mbowe.

4. Mbowe sio Mkatoliki hadi leo, na hivyo, kimantiki tu, anaamini kuwa Mungu wa Wakatoliki hayupo.

5. Kwa sababu hii, Mbowe hawezi kuomba "baraka" kutoka kwa Mungu wa Wakatoliki, ambaye kwa mtazamo wa Mbowe ni Mungu hewa.

6. Kwa hiyo Mbowe hapaswi kuombewa "baraka" kutoka kwa Mungu wa Wakatoliki, ambaye kwa mtazamo wa Mbowe ni Mungu hewa.

Ukweli ni kwamba:

7. Mbowe anaamini kuwa Mungu wa Walutheri yupo na ndio maana ni Mlutheri hadi leo.

8. Kwa hiyo anaweza kuomba na anapaswa kuombewa "baraka" kutoka kwa Mungu huyu pekee.

Dokezo gani lina utata hadi uanze kutafuta ushahidi wa ziada?
Una uhakika gani Mbowe ni Mlutheri hadi leo?!
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa viongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye parokia za Kanisa Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Kama mambo haya yangefanyika kabla ya Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoendeshwa na Martin Luther wa Ujerumani, yangeweza kuingia akilini. Wakati huo Kanisa la Kikristo lilikuwa moja. Lakini hali sio hivyo leo. Ukweli wa leo ukom hivi:

  1. Kwa mujibu wa kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kila mahali penye utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na vitu vingi, na kila mahali pasipo na tofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na kitu kimoja.
  2. Kuna utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki.
  3. Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki, ni Mungu tofauti, na uwepo wa kila Mungu aliyetajwa unakubaliwa kwa vitendo na wafuasi wa Mungu huyo na kukanwa kwa vitendo na watu wasio wafuasi wa Mungu huyo.
That is:
  1. According to the principle of necessary and sufficient conditions for the individuality of an entity, wherever there is property difference between two entities there is numeric diversity and that wherever there is absolute property similarity between two entities there is numerical identity.
  2. There are property differences between Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God , etc
  3. Thus, Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God, and so on, are distinct Gods, where the existence of each God is practically asserted by its followers and practically denied by its non-followers.
Accordingly:
  • For a catholic X, a Lutheran God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a Lutheran God, X is an atheist.
Again:
  • For a Lutheran Y, a Catholic God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a catholic God, Y is an atheist.
In effect:
  • We may pray for atheists so that they may be converted from unbelief status to belief status and not otherwise.
  • For these reasons, all Lutherans including Mbowe are atheists with respect to Catholic God.
  • And all Catholics, including Pope Francis, are atheists with respect to Lutheran God.
Finally:
  • The god of the Old Testament whose third person is disincarnated is not identical with the god of the New Testament whose third person is incarnated ;
  • A contraceptophobic god of the Catholic Church is not identical with a contraceptophilic god of the Lutheran Church;
  • A god whose third person comes from the father and the son, as taught by the Western Christian Churches, is not identical with a god whose third person comes from the father alone as taught by the Eastern Christian Churches.
  • A god who prefers to be worshipped on Sunday is not identical with a god who prefers to be worshipped on Saturday;
  • A god who prefers to be worshipped in Friday is not identical with a god who prefers to be worshipped in another day;
  • A god who prohibits his followers to eat pork is not identical with a god who allows his followers to eat pork;
This is what the elementary metaphysical principle of individuation, properly understood, teaches us.

Sasa swali kuu na majibu yangu

Kwa hiyo basi, ninawaalika Viongozi wa Chadema kujiuliza na kujibu swali lifuatalo: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa kuzingatia matakwa yakanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kama ilivyofafanuliwa hapo juu, binafsi napendekeza yafuatayo:
  • Kwamba, Mungu wa KKKT anayeabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki anayeabudiwa na wafuasi wa Mbowe ambao ni Wakatoliki;
  • Kwamba, Mbowe amekuwa anamkana kwa mawazo, kwa maneno na kwa vitendo Mungu wa Wakatoliki.
  • Na kwamba, kwa sababu hiyo, Mbowe hana haki ya kuombewa na wafuasi wake kupitia kwa Mungu asiyemwamini.
Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema wanapaswa kuacha maigizo kama yale ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Vinginevyo watayafikisha makanisa mahali ambapo kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho yake, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki.

Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Nijuavyo mimi, ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Kanuni nne za kuongoza mjadala:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu hapo juu na kulitendea haki, hapa chini nafafanua kanuni NNE zinazopaswa kuongoza mjadala huu. Kanuni hizo ni:
  • kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti (principle of identity),
  • kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika (principle of difference), na
  • kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu.
  • kanuni ya sifa za lazima katika utambulisho wa kitu (principle of necessity)
  • Kanuni ya sifa zenye kutosheleza utambulisho wa kitu (principle of sufficiency).
Kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika

Pili, ni kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilarity of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea vitu tofauti kwa mujibu wa utaratibu wa kuhesabu, basi, hiyo maana yake ni kwamba, sio kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu tofauti na kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja P, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja Q, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu

Na tatu, ni kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu. Yaani necessary and sufficient definitions.

Ukitaka kukitambulisha kitu kama vile kitu chenye umbo mraba, kwa namna ambayo inatofautisha umbo mraba na vitu baki, lazima kutaja vigezo vinavyomwezesha msikilizaji kufanya mambo mawili.

Mosi, ni kutambua mraba ni kitu gani. Na pili ni kutambua mraba sio kitu gani.

Kazi hizi mbili zinafanyika kwa njia ya kutaja vigezo ambavyo ni vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu kinachoongelewa.

Kuhusu vigezo vya lazima, tuchukue mfano wa fasili ya kitu chenye umbe la mraba. Ni lazima kila mraba uwe na pande nne.

Lakini, sifa hii haitoshi kuutofautisha mraba na maumbo baki kama vile mstatili ambayo pia yanazo pande nne.

Na kwa upande mwingine, kuna vigezo ambavyo vinatosheleza kukitambulisha kitu, lakini sio vya lazima kwa ajili ya utambulisho huo.

Mfano, katika mazingira ya shule mwanafunzi anayepata alama ya A anapasi kozi.

Lakini, alama ya A sio alama ya lazima ili kumfanya wanafunzi huyo apasi kozi. Anaweza kupasi kwa kupata alama ya B, C au hata alama D.

Hivyo, kupata alama ya A ni kigezo cha lazima katika kupasi kozi, lakini sio kigezo kinachotosheleza matakawa ya kumpa mwanafunzi sifa ya kuhesabiwa amepasi mtihani, kwani hata wale wanaopata B, C na D hupasi pia.

Kwa sababu hii, kwa ajili ya kueleza mraba ni kitu gani na sio kitu gani kwa mpigo, tunahitaji mambo mawili:

(1) kutaja kigezo kimoja kimoja ambacho ni lazima kihusike katika kutambulisha mraba.

Na (2) kutaja seti ya vigezo vyote ambavyo kwa pamoja vitatosheleza kutofautisha mraba na maumbo baki yenye pande nne.

Kwa hakika, kila mraba lazima uwe na sifa zifuatazo kwa mpigo: pande nne, pande zilizo nyooka, pande zinazolingana, pande zilizoungana katika ncha zake, pale zilizo katika ubapa mmoja, na lazima uwe na kona nne zenye nyuzo 90 kila moja.

Kanuni hizi tatu zilizotajwa hapo juu, zinapaswa kutumika katika kutambua na kutambulisha kitu chochote kama vile mbuzi, kondoo, mti, mtu, miungu, na kadhalika.

Hivyo basi:

Ukweli ndio huo, na hayo ndiyo madhara yasiyotarajiwa yaliyoletwa na Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoaasisiwa na Matrin Luther wa Ujerumani.

Kwa uelewa zaidi soma kitabu: The Unintended Reformation: How a Religious Revolution Secularized Society by Brad S. Gregory (Attached).
Mother acha hayo. Unatakiwa uwe na umama, yaani huruma siyo K tu. Ina maana huna Mme, baba, kaka, mjomba, nk? kwa hiyo mmojawapo wa hao akipata tuhuma akawa maabusu au kafungwa hutamuombea? Na tunapoambiwa tuwaombee, tuwatembelee na kuwatolea Wafungwa, maabusu, wagonjwa, wajane, yatima na wagane ina maana hujui tulifanyalo au wewe hutendi.? Na ukumbuke ni maagizo ya torati.
Mother nimekudharau sana kuona Mbowe kuombewa roho inataka kukotoka. Unaandika mistari mirefu na maneno mengi kumbe ni umaku tuu. ! uwe na moyo wa kike acha ushupaza. Acha kupanua tumbo ili lijazwe ila ujue watakupanua pia.
 
Mother acha hayo. Unatakiwa uwe na umama, yaani huruma siyo K tu. Ina maana huna Mme, baba, kaka, mjomba, nk? kwa hiyo mmojawapo wa hao akipata tuhuma akawa maabusu au kafungwa hutamuombea? Na tunapoambiwa tuwaombee, tuwatembelee na kuwatolea Wafungwa, maabusu, wagonjwa, wajane, yatima na wagane ina maana hujui tulifanyalo au wewe hutendi.? Na ukumbuke ni maagizo ya torati.
Mother nimekudharau sana kuona Mbowe kuombewa roho inataka kukotoka. Unaandika mistari mirefu na maneno mengi kumbe ni umaku tuu. ! uwe na moyo wa kike acha ushupaza. Acha kupanua tumbo ili lijazwe ila ujue watakupanua pia.
Tulia sindano ikuingie
 
Back
Top Bottom