Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa Mungu hakuna SHORTCUTS wala KUTUBU KIJANJA.

Ninakuelekeza wewe, kanuni itakayosaidia Kukausha Hamu ya Kuingiliwa huko unaita "tigo" sijui ni KUTUBU NA KUMREJEA MUNGU.

Mimi nasema nikugonge kwenye mada wewe unasema nikugonge tigo yako!!! Duuh..

Tubu, ila usisahau kufungua uzi mwingine (HUKO NITAMWAGA MCHELE, kama una jeuri fungua then nitag)

Daah, wapenda kungongwa nini?🤣🤣🤣 MUNGU ATUREHEMU.

Black Belts.
Tatizo lako ni kwamba tayari una indelible mark ya kuhani mtenda dhambi mashuhuri nchini Tanzania. Hata ukitubu sisi tunaendelea kuona hiyo alama ya kishetani isiyofutika!

1631178576949.png
 
Hakuna mtu anayeamini katika Biblia. Tunaamini summary inaitwa Kanuni ya Imani yenye maneno "Kanisa Moja Katoliki".

Halafu, paroko akipokea matoleo kutoka kwa makundi mawili, moja linaomba mbowe asitiwe hatiani, jingine linaomba Mbowe atiwe hatiani, anapokea matoleo yote kwa niaba ya Mungu yule yule?

In short, this matter has revealed the double agent nature of the religious institution!
Ulisoma wapi Teolojia wewe?
 
Wakatoliki hukataa kumzika mtu aliyekuwa anaabudu madhehebu tofauti.

Vivyo hivyo, hawapaswi kumwombea mtu anayekataa Ukatoliki kama anavyofanya Mbowe ambaye ni muumini wa KKKT mpaka leo.
Kumbe Chifu Hangaya ni Mkatoliki? Nilikuwa sijui maana anaombewa sana na maaskofu wakatoliki.
 
Hahahahah

Kama umeshindwa kumtaja huyo Mungu Basi nadhani Sasa umekua na umeelewa nilichokuwa nakufundisha.

Mungu ni Mmoja.
 
Hahahahah

Kama umeshindwa kumtaja huyo Mungu Basi nadhani Sasa umekua na umeelewa nilichokuwa nakufundisha.

Mungu ni Mmoja.
Time for false indoctrination has passed.
In fact, your question had to be which Jesus?
The Jesus one mentions specifies a given God.
The Catholic Jesus is not identical to the Orthodoxy Jesus.
The Lutheran Jesus is not identical to the Jesus as conceived by foloowers of Witnesses of Jehova.
Accordingly, Catholic God, Lutheran God, Orthodoxy God, the God of WoJ are different Gods!
Pure and simple!
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa viongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye parokia za Kanisa Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Kama mambo haya yangefanyika kabla ya Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoendeshwa na Martin Luther wa Ujerumani, yangeweza kuingia akilini. Wakati huo Kanisa la Kikristo lilikuwa moja. Lakini hali sio hivyo leo. Ukweli wa leo ukom hivi:

  1. Kwa mujibu wa kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kila mahali penye utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na vitu vingi, na kila mahali pasipo na tofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa vitu vilivyo mbele ya mtazamaji kutakuwa na kitu kimoja.
  2. Kuna utofauti katika idadi ya sifa za utambulisho wa Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki.
  3. Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki, Mungu wa Walutheri, Mungu wa Waislamu, MUngu wa Wasabato, na kila muungu baki, ni Mungu tofauti, na uwepo wa kila Mungu aliyetajwa unakubaliwa kwa vitendo na wafuasi wa Mungu huyo na kukanwa kwa vitendo na watu wasio wafuasi wa Mungu huyo.
That is:
  1. According to the principle of necessary and sufficient conditions for the individuality of an entity, wherever there is property difference between two entities there is numeric diversity and that wherever there is absolute property similarity between two entities there is numerical identity.
  2. There are property differences between Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God , etc
  3. Thus, Catholic God, Lutheran God, Islamic God, SDA God, and so on, are distinct Gods, where the existence of each God is practically asserted by its followers and practically denied by its non-followers.
Accordingly:
  • For a catholic X, a Lutheran God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a Lutheran God, X is an atheist.
Again:
  • For a Lutheran Y, a Catholic God is not.
  • A believer in the non-existence of a given God is called an atheist.
  • Thus, with respect to a catholic God, Y is an atheist.
In effect:
  • We may pray for atheists so that they may be converted from unbelief status to belief status and not otherwise.
  • For these reasons, all Lutherans including Mbowe are atheists with respect to Catholic God.
  • And all Catholics, including Pope Francis, are atheists with respect to Lutheran God.
Finally:
  • The god of the Old Testament whose third person is disincarnated is not identical with the god of the New Testament whose third person is incarnated ;
  • A contraceptophobic god of the Catholic Church is not identical with a contraceptophilic god of the Lutheran Church;
  • A god whose third person comes from the father and the son, as taught by the Western Christian Churches, is not identical with a god whose third person comes from the father alone as taught by the Eastern Christian Churches.
  • A god who prefers to be worshipped on Sunday is not identical with a god who prefers to be worshipped on Saturday;
  • A god who prefers to be worshipped in Friday is not identical with a god who prefers to be worshipped in another day;
  • A god who prohibits his followers to eat pork is not identical with a god who allows his followers to eat pork;
This is what the elementary metaphysical principle of individuation, properly understood, teaches us.

Sasa swali kuu na majibu yangu

Kwa hiyo basi, ninawaalika Viongozi wa Chadema kujiuliza na kujibu swali lifuatalo: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kwa kuzingatia matakwa yakanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika kwa kutumia vigezo vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu katika upekee wake, kama ilivyofafanuliwa hapo juu, binafsi napendekeza yafuatayo:
  • Kwamba, Mungu wa KKKT anayeabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki anayeabudiwa na wafuasi wa Mbowe ambao ni Wakatoliki;
  • Kwamba, Mbowe amekuwa anamkana kwa mawazo, kwa maneno na kwa vitendo Mungu wa Wakatoliki.
  • Na kwamba, kwa sababu hiyo, Mbowe hana haki ya kuombewa na wafuasi wake kupitia kwa Mungu asiyemwamini.
Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema wanapaswa kuacha maigizo kama yale ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Vinginevyo watayafikisha makanisa mahali ambapo kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho yake, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki.

Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Nijuavyo mimi, ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Kanuni nne za kuongoza mjadala:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu hapo juu na kulitendea haki, hapa chini nafafanua kanuni NNE zinazopaswa kuongoza mjadala huu. Kanuni hizo ni:
  • kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti (principle of identity),
  • kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika (principle of difference), na
  • kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu.
  • kanuni ya sifa za lazima katika utambulisho wa kitu (principle of necessity)
  • Kanuni ya sifa zenye kutosheleza utambulisho wa kitu (principle of sufficiency).
Kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika

Pili, ni kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilarity of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea vitu tofauti kwa mujibu wa utaratibu wa kuhesabu, basi, hiyo maana yake ni kwamba, sio kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, kimoja kikiwa na jina X na na kingine kikiwa jina Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu tofauti na kile kitu kinachorejewa na jina Y, endapo na endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja P, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja Q, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu

Na tatu, ni kanuni ya kutengeneza fasili zinazotaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambulisho wa kitu. Yaani necessary and sufficient definitions.

Ukitaka kukitambulisha kitu kama vile kitu chenye umbo mraba, kwa namna ambayo inatofautisha umbo mraba na vitu baki, lazima kutaja vigezo vinavyomwezesha msikilizaji kufanya mambo mawili.

Mosi, ni kutambua mraba ni kitu gani. Na pili ni kutambua mraba sio kitu gani.

Kazi hizi mbili zinafanyika kwa njia ya kutaja vigezo ambavyo ni vya lazima na vyenye kutosheleza utambulisho wa kitu kinachoongelewa.

Kuhusu vigezo vya lazima, tuchukue mfano wa fasili ya kitu chenye umbe la mraba. Ni lazima kila mraba uwe na pande nne.

Lakini, sifa hii haitoshi kuutofautisha mraba na maumbo baki kama vile mstatili ambayo pia yanazo pande nne.

Na kwa upande mwingine, kuna vigezo ambavyo vinatosheleza kukitambulisha kitu, lakini sio vya lazima kwa ajili ya utambulisho huo.

Mfano, katika mazingira ya shule mwanafunzi anayepata alama ya A anapasi kozi.

Lakini, alama ya A sio alama ya lazima ili kumfanya wanafunzi huyo apasi kozi. Anaweza kupasi kwa kupata alama ya B, C au hata alama D.

Hivyo, kupata alama ya A ni kigezo cha lazima katika kupasi kozi, lakini sio kigezo kinachotosheleza matakawa ya kumpa mwanafunzi sifa ya kuhesabiwa amepasi mtihani, kwani hata wale wanaopata B, C na D hupasi pia.

Kwa sababu hii, kwa ajili ya kueleza mraba ni kitu gani na sio kitu gani kwa mpigo, tunahitaji mambo mawili:

(1) kutaja kigezo kimoja kimoja ambacho ni lazima kihusike katika kutambulisha mraba.

Na (2) kutaja seti ya vigezo vyote ambavyo kwa pamoja vitatosheleza kutofautisha mraba na maumbo baki yenye pande nne.

Kwa hakika, kila mraba lazima uwe na sifa zifuatazo kwa mpigo: pande nne, pande zilizo nyooka, pande zinazolingana, pande zilizoungana katika ncha zake, pale zilizo katika ubapa mmoja, na lazima uwe na kona nne zenye nyuzo 90 kila moja.

Kanuni hizi tatu zilizotajwa hapo juu, zinapaswa kutumika katika kutambua na kutambulisha kitu chochote kama vile mbuzi, kondoo, mti, mtu, miungu, na kadhalika.

Hivyo basi:

Ukweli ndio huo, na hayo ndiyo madhara yasiyotarajiwa yaliyoletwa na Matengenezo ya Kiprotestanti (Reformation) yaliyoaasisiwa na Matrin Luther wa Ujerumani.

Kwa uelewa zaidi soma kitabu: The Unintended Reformation: How a Religious Revolution Secularized Society by Brad S. Gregory (Attached).
Njia za Mungu si kama za wanadamu yeye ndiye muhukumu wa haki hapangiwi na kiumbe chochote alichokiumba.
 
Time for false indoctrination has passed.
In fact, your question had to be which Jesus?
The Jesus one mentions specifies a given God.
The Catholic Jesus is not identical to the Orthodoxy Jesus.
The Lutheran Jesus is not identical to the Jesus as conceived by foloowers of Witnesses of Jehova.
Accordingly, Catholic God, Lutheran God, Orthodoxy God, the God of WoJ are different Gods!
Pure and simple!
Usilete mboyoyo..

Uliulizwa hivi
Yesu ni Mungu au siyo Mungu?
Ukajibu hivi
Yesu ni mwana wa Mungu
Mimi nikauliza hivi
Hahahahahah, hujanitag.

"Yesu ni mwana wa Mungu".. Mungu yupi?
Sasa tunaomba jibu.. Yesu ni Mwana wa Mungu (Wewe ndiye umesema, baada ya kuulizwa kama Yesu ni Mungu au Sio Mungu)...

Tuambie Sasa, Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu yupi? Mungu yupi ambaye ni baba wa yesu?

Then Huyo Mungu utakaye msema nitakuambia kwa mara ya tatu juu ya jibu la swali letu😀😀
 
Tuambie Sasa, Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu yupi? Mungu yupi ambaye ni baba wa yesu?
Naina hata hujaelewa hoja.
NImesema: YESU NI MWANA WA MUNGU.
Maneno YESU na Mungu yana maana nyingi.
Kuna Yesu wa Kanisa la Magharibu, Yesu wa Kanisa la Mashariki, Yesu Mlutheri, etc
Pia kuna Mungu wa Kanisa la Magharibu, Mungu wa Kanisa la Mashariki, Mungu wa Mlutheri, etc
Ukifanya substitutions unapata jibu.
Usinipotezee muda.
Nafanya mambo muhimu kuliko hilo swali lako.
Kwa heri
 
Naina hata hujaelewa hoja.
NImesema: YESU NI MWANA WA MUNGU.
Maneno YESU na Mungu yana maana nyingi.
Kuna Yesu wa Kanisa la Magharibu, Yesu wa Kanisa la Mashariki, Yesu Mlutheri, etc
Pia kuna Mungu wa Kanisa la Magharibu, Mungu wa Kanisa la Mashariki, Mungu wa Mlutheri, etc
Ukifanya substitutions unapata jibu.
Usinipotezee muda.
Nafanya mambo muhimu kuliko hilo swali lako.
Kwa heri
Yesu Mwana wa Mungu.. (Wewe ndiye umesema)

Mungu yupi.. (Mimi nimeuliza)

Ooh.. mashariki, mara sio mashariki magharibi, mara juu pembezoni mwa bahari ya shamu..

Usilete utani tuna kazi za kufanya Kumpendeza Mungu wetu, wewe unaleta utumbo wako eti "Mungu yupi?" Hahahahahah..

Mungu baba wa yote, muumba wa mbingu na ardhi, aliyekuumba wewe na amon.

Good night, usisahau kuni-tag kwenye Uzi mpya (Ila uwe wenye akili).
 
Naina hata hujaelewa hoja.
NImesema: YESU NI MWANA WA MUNGU.
Maneno YESU na Mungu yana maana nyingi.
Kuna Yesu wa Kanisa la Magharibu, Yesu wa Kanisa la Mashariki, Yesu Mlutheri, etc
Pia kuna Mungu wa Kanisa la Magharibu, Mungu wa Kanisa la Mashariki, Mungu wa Mlutheri, etc
Ukifanya substitutions unapata jibu.
Usinipotezee muda.
Nafanya mambo muhimu kuliko hilo swali lako.
Kwa heri
Unahamisha magoli sasa, kwahiyo kuna Yesu wa JF na kuna Yesu wa Mama Amon!!

Shukuru unaongea hizi pumba kwa sababu christian wana tolerance kwa wajinga kama wewe, fanya hivi kwa waislamu uone watakavyokukeketa bila ganzi.

Good morning.....
 
Yesu Mwana wa Mungu.. (Wewe ndiye umesema)

Mungu yupi.. (Mimi nimeuliza)

Ooh.. mashariki, mara sio mashariki magharibi, mara juu pembezoni mwa bahari ya shamu..

Usilete utani tuna kazi za kufanya Kumpendeza Mungu wetu, wewe unaleta utumbo wako eti "Mungu yupi?" Hahahahahah..

Mungu baba wa yote, muumba wa mbingu na ardhi, aliyekuumba wewe na amon.

Good night, usisahau kuni-tag kwenye Uzi mpya (Ila uwe wenye akili).
Anajambajamba tu.
 
Back
Top Bottom