Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 351
- Thread starter
- #41
Ujawai kukutana na mwanaume asiye nahela?Swali lako liko too wide
#nyumayapazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujawai kukutana na mwanaume asiye nahela?Swali lako liko too wide
Sikatai kabisa.Tatizo lenu nyie wengi wenu kidume akipigia changamoto kidogo ya ndalama ndio haoooo mnachepuka dharau kama zote.
Batter trade with what...na hauna.kituUtapataje mahitaji bila pesa au utakuwa unafanya batter trade?
SijawahiHivi ujawai kuona mwanaume asiye nahela?
#nyumayapazia
Inamaana huyo mwanaume ainaishi kwa wazazi Bado?Hivi ujawai kuona mwanaume asiye nahela?
#nyumayapazia
Wengi tu mbona nakutana nao na wengine ni watu wangu wa karibuUjawai kukutana na mwanaume asiye nahela?
#nyumayapazia
Ila mbususu huwapiWengi tu mbona nakutana nao na wengine ni watu wangu wa karibu
Wee bwana hawa ukishakosa hela dharau zinatokea tuu tulishajionea kwa watu wetu wa karibu. The woman had nothing mwanaume ana fight kumtunza mwanamke but jamaa ametetereka kidogo tuu mwanamke dharau kibao na mbususu anagawa kama karanga za kuonjeshwa.Angalau za kupandia bodaboda ziwepo sio lazima za uber.
Mwanaume akiwa hana hela kudeal nae ni ngumu sana. Unaweza ukawa unacheka na comments za jf akakwambia unamcheka yeye! Au ukachelewa kujibu sms/call ukaambiwa..."naona siku hizi unanidharau kwa kuwa sina hela..."
Hizi attitudes wengi ndo huwa zinawakatisha tamaa!
Vipi kwa kawaida ni wabaya kuwa na wewe au wazuri?Wengi tu mbona nakutana nao na wengine ni watu wangu wa karibu
Kwahiyo kuwa na uhusiano na mwanaume ambaye amepata changamoto ya kipesa freshiSikatai kabisa.
japo huwa tunaziover look tabia za ME ambaye hana hela. Hii ndio point yangu ya leo.
Kuna muda kukosa pesa kwenyewe si tatizo, siamini kama waliodumu na wake zao katika maisha yao yote mambo yalikuwa yamenyooka.
Simtetei yeyote hapa.
Ndiyo, bado wsnatafuta hela vipi kwani ni wabaya au waziri kuwanao kwenye mahusianoInamaana huyo mwanaume ainaishi kwa wazazi Bado?
Ama ungeuliza hiviHebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
Lakini kwa ambaye hana hela labda bado ndo anajitafuta kimaisha fSasa huyo mwanaume hana hela maana yake hana akili ya kutengeneza pesa itabidi akae single
Vipi kwa mwanaume ambaye ndo kwanza anajitafuta mme kama huyu ni vibaya au vizuri kuwanae kwenye mahusianoAngalau za kupandia bodaboda ziwepo sio lazima za uber.
Mwanaume akiwa hana hela kudeal nae ni ngumu sana. Unaweza ukawa unacheka na comments za jf akakwambia unamcheka yeye! Au ukachelewa kujibu sms/call ukaambiwa..."naona siku hizi unanidharau kwa kuwa sina hela..."
Hizi attitudes wengi ndo huwa zinawakatisha tamaa!
Fresh kabisa, Pesa inatafutwa ndugu.Kwahiyo kuwa na uhusiano na mwanaume ambaye amepata changamoto ya kipesa freshi
#nyumayapazia
Wanawadharau kwa sababu hata nyie mkizipata huwa mnaenda kutumbua na wanawake wengine.Wee bwana hawa ukishakosa hela dharau zinatokea tuu tulishajionea kwa watu wetu wa karibu. The woman had nothing mwanaume ana fight kumtunza mwanamke but jamaa ametetereka kidogo tuu mwanamke dharau kibao na mbususu anagawa kama karanga za kuonjeshwa.
Ni vizuri na hakuna ubaya wowote ila ndo unatafuta kweli sio kukaa tu ndani unalalamika ramani hazisomi.Vipi kwa mwanaume ambaye ndo kwanza anajitafuta mme kama huyu ni vibaya au vizuri kuwanae kwenye mahusiano
#nyumayapazia