Swali kwa wadada, hivi mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?

Swali kwa wadada, hivi mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?

Wanawadharau kwa sababu hata nyie mkizipata huwa mnaenda kutumbua na wanawake wengine.
Kha! Yamekuwa hayo tena! Anyways ni kweli tukipata hela tunaenda kupata totoz nyingine na hiyo ni katika kuonyesha kuwa wanaume tuna moyo wakipekee uliojaa upendo na hivyo sio vyema hela zote zilaenda sehemu moja wakati wapo wanawake wazuri wenye uhitaji wa rasimali tulizokuwa nazo.

Unlike them, when they have money they wana get rid of u if not completely elimate u from the surface of thos earth. Thats the difference.
Selfish creatures i tell u. Sympathize not with their plight.
 
Fafanua kwanza kutokuwa na hela kukoje?

1.hajawahi kuwa na hela 2. ameishiwa? 3. ana hela kidogo amezidiwa na KE?

Namba 3 Inawezekana, 1&2 Mwanamke ajiaandae kuna mambo atadeal nayo hadi atakinai mwenyewe; insecurities, attitudes, anaweza kuwa violent, anaweza kuwa unmotivated, controlling, nagging etc.

Si kwa ubaya, mwanaume asipokuwa na hela anakuwa anadeal na mambo mengi sana kichwani yanayomfanya iwe ngumu sana kuishi na mwenza.

Kwa kuongezea: huwezi ijui tabia halisi ya Mwanaume asiyekuwa na hela.

Anyways, tuwaombee wanaume wapate pesa kwasababu nadhani ni kitu kigumu sana kwao. (Nimeongea kama dada wa mtu)

Duuuh , tutafute pesa fr [emoji52]
 
Sikatai kabisa.

japo huwa tunaziover look tabia za ME ambaye hana hela. Hii ndio point yangu ya leo.
Kuna muda kukosa pesa kwenyewe si tatizo, siamini kama waliodumu na wake zao katika maisha yao yote mambo yalikuwa yamenyooka.

Simtetei yeyote hapa.

Tuzijue tabia hizo🫤
 
Tuzijue tabia hizo🫤
Anaweza akawa na trait zingine zozote kama binadamu, But kuwa insecure ni trait specifically inatokana na kukosa pesa. Halafu hakuna kitu kibaya kama kuwa na ME ambaye ana trait hii and it gets the best of him.

Sikatai, yamkini kila mtu ana insecurities zake, wengine hujitahidi kuzifunika na kibunda, sababu kibunda kinaleta confidence.

Kama ulivyosema tutafute pesa, si kwaajili ya mapenzi tu.
 
Fafanua kwanza kutokuwa na hela kukoje?

1.hajawahi kuwa na hela 2. ameishiwa? 3. ana hela kidogo amezidiwa na KE?

Namba 3 Inawezekana, 1&2 Mwanamke ajiaandae kuna mambo atadeal nayo hadi atakinai mwenyewe; insecurities, attitudes, anaweza kuwa violent, anaweza kuwa unmotivated, controlling, nagging etc.

Si kwa ubaya, mwanaume asipokuwa na hela anakuwa anadeal na mambo mengi sana kichwani yanayomfanya iwe ngumu sana kuishi na mwenza.

Kwa kuongezea: huwezi ijui tabia halisi ya Mwanaume asiyekuwa na hela.

Anyways, tuwaombee wanaume wapate pesa kwasababu nadhani ni kitu kigumu sana kwao. (Nimeongea kama dada wa mtu)
Kwakweli kila mwanaume na awe na hela

Bila hela anakua mnyonge sana
 
Huu upuuzi wa pesa umeanzishwa na wanaume madomo zege na wazee, hawa mabinti wameingizwa tu kwenye mfumo na wamefit kwelikweli.

Tuache upumbavu wa kuwaharibu hawa mabinti kiakili kwa pesa, tunatengeneza malaya wa kutosha tu.

Unakutana na binti na udomo zege wako unamjaza mihela nayeye anazoea, mkiachana unadhani atamkubali asiye na kitu?? Itabidi yeye ndo aanze kuwawinda wenye pesa ili aendelee kuishi maisha yapesa ulokuwa unampa( huyu tayari keshakuwa malaya)
Umeongea kwa uchungu sana ndugu yangu
 
Anaweza akawa na trait zingine zozote kama binadamu, But kuwa insecure ni trait specifically inatokana na kukosa pesa. Halafu hakuna kitu kibaya kama kuwa na ME ambaye ana trait hii and it gets the best of him.

Sikatai, yamkini kila mtu ana insecurities zake, wengine hujitahidi kuzifunika na kibunda, sababu kibunda kinaleta confidence.

Kama ulivyosema tutafute pesa, si kwaajili ya mapenzi tu.
What shows kwamba the dude is insecure
 
Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?


#nyumayapazia
 
Unaposema Hana Hela maana yake hafanyi kazi yoyote hajishughulishi ndo maana Hana Hela,sio Tu Hilo la kutokuwa na pesa mvivu pia mtu WA hivyo WA nini sasa wakati hata vitabu vya dini vimeandika mwanaume utakula Kwa jasho lako yy alikuwa anategemea ale Kwa jasho la nani!?
 
Angalau za kupandia bodaboda ziwepo sio lazima za uber.
Mwanaume akiwa hana hela kudeal nae ni ngumu sana. Unaweza ukawa unacheka na comments za jf akakwambia unamcheka yeye! Au ukachelewa kujibu sms/call ukaambiwa..."naona siku hizi unanidharau kwa kuwa sina hela..."

Hizi attitudes wengi ndo huwa zinawakatisha tamaa!
Tofauti kumbe kuna sisi ambao tukiwa na pesa ndio tunaendekeza wivu na mapenzi maana ukishakuwa na hela hakuna kitu kingine cha ziada cha kufanya dunian zaidi ya hizi starehe za mapenzi, tukikosa pesa ndio tunakuwa hatujali kabisa hata ukichiti hilo utajua mwenyewe maana tunajua tatizo ni pesa hivyo hatushughuliki na mapenz zaidi zaidi tunabaki bize kusaka hela.

Na hivyo ndivyo matajiri walivyo, katongoze mke wa tajiri uone, siku3 hutoboi, kama huyo mwanamke wake hayuko makini kwenye simu , utakamatika tu.

Yaanu nikununulie aifoni fotini na nisikuchunguze? Au kukagua simu?, nikununulie kibebi walker(ist) alafu nisikupangie pakwenda? We ulisikia wapi?

Tofautisheni wivu wa mapenzi na upumbavu wa kukosa hela,

Ule upuuzi wanaofanya wanaume.wakikosa pesa huwezi kuuita ni wivu bali upumbavu, kujistukia kila muda na kuona mwanamke wako anakudharau huo ni upumbavu, lkn kumuhisi vibaya mwanamke wako kuwa anachiti si vibaya kama kweli ana hizo chembechembe.
 
Back
Top Bottom