Kha! Yamekuwa hayo tena! Anyways ni kweli tukipata hela tunaenda kupata totoz nyingine na hiyo ni katika kuonyesha kuwa wanaume tuna moyo wakipekee uliojaa upendo na hivyo sio vyema hela zote zilaenda sehemu moja wakati wapo wanawake wazuri wenye uhitaji wa rasimali tulizokuwa nazo.Wanawadharau kwa sababu hata nyie mkizipata huwa mnaenda kutumbua na wanawake wengine.
Unlike them, when they have money they wana get rid of u if not completely elimate u from the surface of thos earth. Thats the difference.
Selfish creatures i tell u. Sympathize not with their plight.