Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hahahaaa sasa itabidi tubanane kwa hao wachache! Hybrids wako wachache mno! Waache wengine wapende pesa, sijui dushe, nk!
Mradi wana true happiness hiyo haiwasumbui!
sijajuta wii
si unajua brother always wish the best for her lil sisy
huu mda mko hum ndoa mnaidumisha saa ngapi lol[/QUOTE]
Ngoja akusikie,utachapwa!!!
Ugali wii,kaenda mkoa katumwa na mkoloni wake.
Hajakuaga?
hahahaha!!! halafu kumbe na wewe mchokozi eeh.
Hahahaaa hajui kwamba tunahesabiwa humu tunaopenda warefu! Mkuu idadi imevuka lengo dah!
mnyime leo.......
sa we utajua umnyome nini lol
ngumu kujua kama wanapata true happyness kutoka kwa hao wanaume warefu weusi.
Just whistling..[/B]
Na naamini hujajuta wii wa mimi.
Tusimsifu sana maana nimemuona mitaa hii,tembo asilitie maji bure!!
hahahaahaa anisikie tu tena yupo humu ila sijui Hata id yake
Hahahaaaaaa!!
Thats my wii,mi penda wewe sana tu!!!
Distance itamuokoa leo,nitazima simu tu akili imkae sawa
wii Ennie hajaniaga ujue,,,,,,,
Sasa nisipochokoza dada zangu nimchokoze nani wapita njia watanikogesha matusi bureeee!!!!!
Hehehheheh....! Count me in OLESAIDIMU...!
Nae hajui ID yako?! Manake duh! Yani kuna nested thread umu ya kumshushua or smtin lyk it! Sema ka yupo atajishtukia tu.....
ntakusemea ujue. lol
Cha muhimu zaidi mimi nadhani ni content/ strength of character ya mtu. Kuangalia urefu, skin tone, unene wa mifuko na kadhalika ni kuwa shallow.
Au inakuokoa wewe!!!!!
Hahahahaahaa hajawahi kuijua kwa kweli nipo vizuri kwe kuhide ma private life ila atakua ameisoma kimyakimya thou sijisikii vizuri kumsema ila ni very stubborn jaman