Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

mods njooni mfunge hii topic khaaa mnatunanga wa fupi jaman hadi kuwatongoza tutaogopa ngoja warefu wawachezee mkichuja msikimbilie kwetu shenz typee invincible njoo funga huku tunanyanyaswa kimawazo

hhhhhhhhhaaaaaahhhaaa!!!! umeniua mbavu.
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi mwanaume ukiwa na Pesa unakua na sifa zote urefu,ufupi, weusi au weupe. wanawake watakupenda tu.

Ukiona wewe ni mrefu unapendwa na hauchangii chochote kwenye gharama za mapenzi jua wewe unaibiwa ila ni siri ya ndani.!
 
its more than appearance that am looking into a man

we mtoto wa kike unakuaga na koment zilizo komaa, i think huyo man wako atakua the happiest man in planet, ni kweli A man is more than just Appearance other wise kama umri wako kama watoto wa secondary wanakuja kurealize time imewaacha.
 
Siku hizi mwanaume ukiwa na Pesa unakua na sifa zote urefu,ufupi, weusi au weupe. wanawake watakupenda tu.

Ukiona wewe ni mrefu unapendwa na hauchangii chochote kwenye gharama za mapenzi jua wewe unaibiwa ila ni siri ya ndani.!

wanaume wenye pesa huwa wanaona pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. wanajidanganya sana.
 
kuna mdada nataka nimtawanye..! lols!

si mnamaind urefu na ublack.. sasa ngoja nioneshe mfano!

Usitutishe bhana! Bila shaka we mfupi! Siyo mbaya lakini, we tafuta hela tu Mkuu! Mfupi silaha yake dollars!
 
wanaume wenye pesa huwa wanaona pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. wanajidanganya sana.

Kwa kiasi flani wanafanikiwa kung'oa wadada wa nguvu! Ila sasa taabu inaanza kama kwenye 6*6 wako poor! Ila kama na huko wako vizuri ndoa inatulia tu!
 
Haswa waliopata ukubwani na bila kutegemea!!!!!

Acha wawatunzie watoto wa mjini wanawake!!!!!

ndio maana wanakwambia maskini akipata ma.---- hulia.................. na ukitaka ujue tabia ya mtu subiri apate cheo au mali.
 
Back
Top Bottom