Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

ok.. pamoja na mapungufu yake yote. ni nini unachofikiri unakipenda kutoka kwake sasa hivi ambacho siku ukiachana nae bado utakikumbuka?

Ntakumbuka care aisee ananijali kwa mambo mengi ila tunashindana wivu na ujuaji yan yeye uwa akosei lol kanichosha uwiii
 
idris2.jpg
that what am
 
yap wadada tulio weng tunapenda wanaume warefu bt cdhani kama ni ureeeefu to extent mpaka kumkis upande kwenye stuli NO! nahis tunamaanisha awe amenipita urefu flani iv thats ol!
 
Mwanaume mrefu na mweusi ni minor issues kwenye mapenzi......
 
mods njooni mfunge hii topic khaaa mnatunanga wa fupi jaman hadi kuwatongoza tutaogopa ngoja warefu wawachezee mkichuja msikimbilie kwetu shenz typee invincible njoo funga huku tunanyanyaswa kimawazo
 
Last edited by a moderator:
mods njooni mfunge hii topic khaaa mnatunanga wa fupi jaman hadi kuwatongoza tutaogopa ngoja warefu wawachezee mkichuja msikimbilie kwetu shenz typee invincible njoo funga huku tunanyanyaswa kimawazo

haaahaaaa.....
 
Last edited by a moderator:
mods njooni mfunge hii topic khaaa mnatunanga wa fupi jaman hadi kuwatongoza tutaogopa ngoja warefu wawachezee mkichuja msikimbilie kwetu shenz typee invincible njoo funga huku tunanyanyaswa kimawazo

Ndio maana awali nilsema,huu ni unyanyapaaji wa kimo,watu wa haki za binadam angalieni aina hii mpya ya unyanyasaji.hatari sana wafupi kuachiwa maskrepa wang'ang'ane nayo sio haki.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana awali nilsema,huu ni unyanyapaaji wa kimo,watu wa haki za binadam angalieni aina hii mpya ya unyanyasaji.hatari sana wafupi kuachiwa maskrepa wang'ang'ane nayo sio haki.

kweli mkuuu huu ni unyanyasi kabisa bora mods waifunge wasichana wengine wasione huu uzi si unajua wasichana wanavyoigana
 
Back
Top Bottom