nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Mrefu mweusi km mm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo nilidhani yako huko ulaya tu,hapa bongo naona yameshika kasi,mvuto wa mwanaume ni urefu?
na mengine kadhalika
Kweli mkuu. Niligonga mambo na hata nilikua siwajui!we ni muongo sana
OMG Ni kama umewahi niona sehemu!. Ni pm basi lol!Mwanaume mrefu raha afu awe na kifua cha kispot,ooh OMG,my love 2takula mapenzi hata ka' huna pesa....
You are tallied! !!
You tell me!!!
Being reserved is not naivety.
A little mystery is sexy, at least to me.
I like a man who disturbs my mind with curiosity, not an open book.
Karucee na kuombea njaa!! menu ninayo mimi tu! lols!
Evelyn Salt nimekumiss sana wangu.. jiandae tukajitupie JB delmonte, nackia charminglady kahamishia makazi huko!!!
chezea black people in the new world weye!!
Jambo!!!
Wana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.
I see! Nahisi kn kaukweli, mm ni type hy hy! Tall 'n black! I see! Kn kitu hapa
kwenye hii thread kila mwanaume atajifanya mrefu