Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Kwa kiasi flani wanafanikiwa kung'oa wadada wa nguvu! Ila sasa taabu inaanza kama kwenye 6*6 wako poor! Ila kama na huko wako vizuri ndoa inatulia tu!
hao wadada wanaong'olewa kwa sababu ya urefu na rangi ya mwanaume hatuwezi kuwaita wadada wa nguvu bali ni wadada wepesi/laini.