OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Mie nanong'ona na wifi yangu huku!!
Mpaka siri ya adhabu umeijua!!!
Tangu that time mbona wewe tu ulikuwa unambwela! !!!!!
Kama anachonga sana we akianza tu piga mwayo then jinyooshe akiendeleza ngenga act kama unasinzia then aga!!!!!
Yeah tunaandikisha wenye interest ya mountain climbing!!!!Kuna sensa inaendelea honey?
Ndio maana nakwambia distance imekuokoa leo,adhabu inge work tu!Anakuchagulia adhabu itayokuumiza zaid ya muadhibiwa!!!!
Huhuuuhu nice technique ila sijui ka ita work dawa ni kumtafuta tall man n black one hahahaaa
Ha ha haaaaa i smell danger!!!!!Ndio maana nakwambia distance imekuokoa leo,adhabu inge work tu!
Yeah tunaandikisha wenye interest ya mountain climbing!!!!
Cha muhimu zaidi mimi nadhani ni content/ strength of character ya mtu. Kuangalia urefu, skin tone, unene wa mifuko na kadhalika ni kuwa shallow.
umeona eeeeh. leo umeongea point kuliko siku zote. lol.
halafu ujue hapa najiuliza, kama hao wanaume warefu weusi hawajawahi kuachwa!! ukijua kama na wao huwa wanachwa basi ni character ya mtu ndio inamata zaidi.
Omba uzima tu my dada Heaven on Earth nikikuaga kila siku utanichoka!!!!
Ha ha haaaaa i smell danger!!!!!
na mie pia nadhani character should come first............
Ok!!
All the best baba watoto.
Yeah, tall, dark, and handsome (TDH).
Are you smitten?
Au inakuokoa wewe!!!!!
Kila siku mi namwaga mipwenti ya ukweli humu. Sema tatizo lako wewe huwa unawaza equipment ilopinda:becky:
Hahaaa eti warefu weusi.
Well, na wao ni binadamu tu na wana mapungufu kama binadamu wengine na hukumbwa na madhila tu kama ambavyo watu wengine hukumbwa, yakiwemo hayo kuachwa na kuacha.
Character ya mtu goes a long way. Mimi tayari nilishagaivuka hiyo steji ya kuangalia mwonekano tu. Sasa hivi naangalia na kuzingatia makubwa na muhimu zaidi ya hayo ya mambo ya nje (mbolea, nyonyo, vimini, vikuku, weave, na vikwapa)
Maisha ni zaidi ya mwonekano. Leo hii umenipendea weusi na urefu wangu, mtondogoo nagongwa na bajaji nakatwa mguu mmoja nabaki na kigulu.
Bado utanipenda kama awali au utasepa kwa mwingine mwenye miguu miwili, mrefu, na mweusi?
Fikria Mwajuma, fikiria.
nimekuelewa kaka.........
nakuombea kila lenye heri
umeona eeeeh. leo umeongea point kuliko siku zote. lol. halafu ujue hapa najiuliza, kama hao wanaume warefu weusi hawajawahi kuachwa!! ukijua kama na wao huwa wanachwa basi ni character ya mtu ndio inamata zaidi.
nyie watu huwa mnanichekesha sana
ishukuriwe JF
do u remember kuna time kulikua na thread kama hii
what u said that time still make some sense to me hadi leo