Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Mjini hakuna urefu wala weusi ni pesa tu. Kwani Riz Moko ana urefu gani? mbona anagonga watoto kama hana akili timamu?

Cha ajabu wale anaowagonga, wanachukua mkwanja halafu wanagongwa na warefu vilevile! Pesa pekee haitoshi ndugu!
Ukweli utabaki hapo hapo wanaume warefu wana mvuto zaidi!
 

Hahaha hii hoja tumeshakubaliana na OLESAIDIMU...kwamba bila wallet ayo mengine mbwembwe tu
 
Last edited by a moderator:
Cha ajabu wale anaowagonga, wanachukua mkwanja halafu wanagongwa na warefu vilevile! Pesa pekee haitoshi ndugu!
Ukweli utabaki hapo hapo wanaume warefu wana mvuto zaidi!

Hata wakigongwa na weusi, naye si anakuwa kishagonga? Kugongwa ni kugongwa tu.

Weusi warefu wanawagongea wenye mikwanja yao, na wenye mahela yao wanawagongea weusi warefu. Ngoma droo!!!
 
Cha ajabu wale anaowagonga, wanachukua mkwanja halafu wanagongwa na warefu vilevile! Pesa pekee haitoshi ndugu!
Ukweli utabaki hapo hapo wanaume warefu wana mvuto zaidi!

Kweli aisee. Kama Reginald Mengi alivotumia urefu wake kuwanasa kina naniliu.
 
Hata wakigongwa na weusi, naye si anakuwa kishagonga? Kugongwa ni kugongwa tu.

Weusi warefu wanawagongea wenye mikwanja yao, na wenye mahela yao wanawagongea weusi warefu. Ngoma droo!!!

Hapo sasa! Ndiyo mana nilisema wafupi silaha yao ni WALLET! Lakini mapenzi yapo kwa mtu mrefu!
 
Hata wakigongwa na weusi, naye si anakuwa kishagonga? Kugongwa ni kugongwa tu.

Weusi warefu wanawagongea wenye mikwanja yao, na wenye mahela yao wanawagongea weusi warefu. Ngoma droo!!!

Sredi na ifungwe....
 
Hapo sasa! Ndiyo mana nilisema wafupi silaha yao ni WALLET! Lakini mapenzi yapo kwa mtu mrefu!

Hahahha wallet mpango mzima mapenzi hata kumbi kumbi wanayo.....
 
Hahahha wallet mpango mzima mapenzi hata kumbi kumbi wanayo.....

Kumbe mnajua hilo ee? Tukisemaga fedha kama tai mnaruka ile mbaya! Leo tumesema urefu wafupi wanakimbilia ngao ya wallet! Hahahaaa
 
Kumbe mnajua hilo ee? Tukisemaga fedha kama tai mnaruka ile mbaya! Leo tumesema urefu wafupi wanakimbilia ngao ya wallet! Hahahaaa

Hahahah hapo ndipo unapokosea. Hatupingani na hoja eti kwa kuwa sisi ni wafupi. Wengine 6 kwa 6 tunalala diagonally, na weusi tunao wa haja tu. Na bado kitaa kuna vinjemba vifupi kama mpini wa shoka, tena vyeupe pee vinagombewa na mashori kama mpira wa kona.

Mwanamke kwa ujumla wake mara nyingi hajui akitakacho kwa wakati uliopo. Leo atataka mweusi mrefu, akimwona mwenzake anaendesha kavitz mapenzi yanahamia kwenye wallet. Akiona njemba ndefu nyeusi anaiona kama jini tu. Pesa ishamvuruga.
 
C'mon!!!!, now I can understand the reason for why my wife loves me that much lol!!. Thanks God kwa kuniumba jinsi nilivyo na umuongezee mke wangu mapenzi zaidi juu yangu.

Huyo Mungu aliyekuumba wewe mrefu, ndio kawaumba wengine wafupi na wote kawapa watu wanaowapenda kama mkeo anavyokupenda,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…