Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Hahaha huyo si ndo wa kuwalinda? Asprin ni mrefu mweusi...ilo jina lisikuzingue...sawa sawa?

Hommie utanijazia inbox yangu ujue. Mdogo mdogo ndo mpango mzima.
 
Last edited by a moderator:
So wanaume warefu ni mazobaaa! sitaki kuamini hili

Hujamuelewa,kasema wafupi"wanajifanya" kujua kila kitu,maana yake hawajui ila wanajifanya kujua,kinyume chake ni kua warefu wanajua na huwa "hawajifanyi".
 
Huyo Mungu aliyekuumba wewe mrefu, ndio kawaumba wengine wafupi na wote kawapa watu wanaowapenda kama mkeo anavyokupenda,

You are right mkuu na naheshimu sana uumbaji wa Mungu ndo maana sikukashifu wala kudharau uumbaji wake kwa jinsi yoyote ile. Vile vile nadhani sijafanya kosa kuzungumzia upande wangu maana kina mtu anafahamu mambo yanayotokea ndani ya ndoa/ mahusiano yake.
 
Hommie chapchap sana hebu nambie wewe na hizi nditoz Karucee na Heaven on Earth mnadiskashen makitu gani kwenye weupe na ufupi wangu??

Nijibu fasta kabla sijaanza safari ya kwenda Harare. Kule network ni ya mgao kama umeme wa TANESIKOO.

hahaaa kumbe we ni mweupe na ni mfupi......nimepata chaguo langu sasa
 
Wote hao ni #teamwarefuweusi ss je hommie unafit...maana wamesema.apa wanakupa bureee kabisa. Mimi nimetoka kapa sina vigezo wallah

Cc Karucee Heaven on Earth

mimi huko simo kaizer may be hujafatilia diskashen yetu kwa uzuri

I used to like tall men but I came to realize appearance is not what am looking into a man

Its more than his look usiponielewa kwenye lugha ya mkolon mwite Asprin akutafsirie:A S-alert1:
 
Last edited by a moderator:
Katika kabila zote umeona wapare tu ndo wanafaa kutolea mfano?? Tz wapare tu ndo wana huo ufupi?? Tafadhali bwana..

ndio wapare ndo kabila linaloongoza kwa wafupi au kuna jingine tuambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…