Umenisahau na mimi hommie. Nataka niandamane nao hao mashori.
We tangulia kwa usalama wetu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenisahau na mimi hommie. Nataka niandamane nao hao mashori.
Kumbe hawa ni wakubwa ee?
wafupi maneno mengi na wanajifanya wanajua kila kitu.
So wanaume warefu ni mazobaaa! sitaki kuamini hili
Huko kwenu kama kuna wakaka kama wewe jamani tuambizane! Hongera kwa Dada yangu!
Huyo Mungu aliyekuumba wewe mrefu, ndio kawaumba wengine wafupi na wote kawapa watu wanaowapenda kama mkeo anavyokupenda,
Hommie utanijazia inbox yangu ujue. Mdogo mdogo ndo mpango mzima.
Hommie chapchap sana hebu nambie wewe na hizi nditoz Karucee na Heaven on Earth mnadiskashen makitu gani kwenye weupe na ufupi wangu??
Nijibu fasta kabla sijaanza safari ya kwenda Harare. Kule network ni ya mgao kama umeme wa TANESIKOO.
Wote hao ni #teamwarefuweusi ss je hommie unafit...maana wamesema.apa wanakupa bureee kabisa. Mimi nimetoka kapa sina vigezo wallah
Cc Karucee Heaven on Earth
Mkuu unachosema ni kweli,dah!ndio maana hawa jamaa wanapendelewa,waganga wa kienyeji wanaongeza saizi ya uume,kwa nini wasiongeze maujanja waongezee watu kimo kama hali ndio hiyo!
Katika kabila zote umeona wapare tu ndo wanafaa kutolea mfano?? Tz wapare tu ndo wana huo ufupi?? Tafadhali bwana..
oooooh am so so so sorry mrebo @@ KARUCEEI am a woman dude.
hmmmm.....mbona hujauliza pia wafupi, weusi/weupe maaana lazima hao pia wana watu wao....
Tall and Dark? Oh la laaaaaaaa.
Lazima niseme ssssss aaaaaaa.
Damn!
..sawa bwana mkubwa yaishe..ndio wapare ndo kabila linaloongoza kwa wafupi au kuna jingine tuambie
Kwa nini hujaniita kwa hii thread???
Jamani!!?