Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Mnadanganyana kweli nani anaangalia kupata security kutoka ktk urefu ulionao? Security ni dhana pana urefu au ufupi pekee wa mwanaume hauhakikishi upatikanaji wake! Wangapi wamenyang' anywa warembo na vishortii? Hii dhana ya urembo wa Hollywood ibebeni kwa tahadhari mtaumbuka sehemu nyingine!
 
Siwaeleweni nyie wadogo siku hizi naona na wewe uko "monitored and evaluated" for what purpose huulizi unakenua tuuuuu!!!!!

Breaking someone's bone has never been a good experience,i think he is not my victim!!!!

huyo tumeelewana niliwambia appearance is not what am looking into a man

so mazungumzo yametoka mbali...... hahaa braking someone is not even in your record

Good night brother I love u
 
Mwenye dada hakosi shemeji!!!
Wa kwako wanauma eee??
We tulia usubiri barua ya posa na kuitwa uncle tu!!!

Nisaidie dadangu yeye vya wenzie anapenda kubeba tu, ila vyake vinauma, wanasema ukirusha jiwe kwenye giza ikisikia myeeee ujue limempata mtu. ila all in all heaven on earth ni bonge la material kama yale wanayotuibia Barick gold mining
 
Nisaidie dadangu yeye vya wenzie anapenda kubeba tu, ila vyake vinauma, wanasema ukirusha jiwe kwenye giza ikisikia myeeee ujue limempata mtu. ila all in all heaven on earth ni bonge la material kama yale wanayotuibia Barick gold mining

Dadangu unamtokea kiaina na mke wangu unamuita dada!!!!!!
We unanitafuta asee!!!!
 
Back
Top Bottom