Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
??
kimbaokimbao?!
Asiwe mwembamba! Awe na ka body.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
??
kimbaokimbao?!
means wakiwa warefu hata mipini yao ni mirefu pia
Kwa hiyo sisi wafupi hatuvutii??? lol
Huyu binti alikosa kujiamini tu mimi naona alikuwa mrembo zaidi kabla ya kujichuna ngozi.Wanapowachagua wakumbuke na offspring hasa wa kike, maana mwisho wa siku wataishia kujichubua kama wema sepetu.
No. Best usiwe una kariri. Utashangaa.
Kwako sitaangalia urefu wala rangi.
Ati nini???? We mwanamke, usitake nipate mfadhaiko!!
chini ya 18...
at his/her own risk
Hata nyie mnatuoa mkiwa used vilevile! Sioni cha kukusikitisha hapo! Used+ used= Heshima na adabu!
Oh yeah. Ain't life a bitch.
Wana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.
Any girl who married without a virgin is a bitch....
Any girl who married without a virgin is a bitch....
hahaha. Lol.Did you, or are you going to marry a virgin?
Oshey mr 💰🤣Wana jukwaa jumapili njema
Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine?
Nimepata kuwauliza wadada wengi,ambao nimekutana nao maeneo tofauti wangependa waolewe au wawe na mahusiano na wanaume wa aina gani,wengi na karibu sehem kubwa hujibu kua wanapenda wanaume warefu ,weusi.
Mi naomba kujua wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada hadi wapendelewe hivyo?
Karibuni sana.