Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

Sema unazingua kumwambia mwana asiipende kazi yake huo nao ni ufala mwingine kazi yake ndio mke wa kwanza.
 
Usemalo ni kweli kabisa hawa wanawake kupata mke uwe broke, ukiwa na hela utapata wasaka fursa tuu.
So hapo maghetoni ulikuwa na godoro, ndoo mbili za maji na nini kingine mwanawane?
 
Kwa hiyo akamie kuongeza idadi ya single mamaz?
Sasa out of ten none amekubari proposal yake! Maana yake Ke wengi wanapenda kuwa single mother! Muoaji yupo tena mwenye kazi na kipato halari, na pipa anakwea bado tu mtu utakuwa na mashaka naye. Huyu jamaa kulea mtoto hatashindwa na ushauri wangu umezingatia asije Lea watoto kama wajukuu, astaafu ndio mtoto anagia darasa la Sita ( mtaala wa elimu umebadirika hakuna la Saba tena)

Ndio maana mwisho nimemuuliza mwenyewe labda show zake hawazielewi aka team kiba100 na hajui kukitumia vizuri.

Watu huku tuna ndoa zetu lakini bado tunasumbiliwa bara na visiwani, nashindwa kuelewa jamaa anakosea wapi.

Pia namshauri anaweza piga masters pale udsm au IFM container la first year likishuka atafute kama watatu hivi ndani yake atapata tu mtu.
 
Oga usitumie akili yako pekee kutafuta mke mshirikishe mungu mimi nilihisi ukiwa na pesa au tajiri kama mimi wanawake watakupenda kumbe ndivyo sivyo aisee nimeamua kumwangukia mungu
 

Mleta mada anafikisha miaka 37 mwaka huu
 

KWa hiyo mkuu mwanamke akimkataa mwanaume maana yake anataka kuwa single mama sio?

Kukwea pipa ndo umeona moja ya kigezo kikubwa cha mwanaume mwenye malengo,upendo wa kweli ee?yani aina hii ya mwanaume sio ya kuikataa?
 
Usemalo ni kweli kabisa hawa wanawake kupata mke uwe broke, ukiwa na hela utapata wasaka fursa tuu.
So hapo maghetoni ulikuwa na godoro, ndoo mbili za maji na nini kingine mwanawane?
Nilikuwa na kitanda, godoro, na vyombo vya kupikia na gas! Kukaa tunakaa kitandani! Na tulianza hivyo hivyo mpaka sasa tulikofikia hakuna mwanamke anaweza kunikataa kwa maisha haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…