USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR