Swali kwa wanasheria: Je, Dk Mpango anaweza kumalizia muda wa rais Samia kisha anagombea tena miaka mitano?

Swali kwa wanasheria: Je, Dk Mpango anaweza kumalizia muda wa rais Samia kisha anagombea tena miaka mitano?

Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .

Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?

USSR
Anaweza malizia hii tenure na akagombea miaka term mbili.
 
Kabla la hilo swali , jiulize Samia ni kweli Ina swihi kuitwa raisi wa awamu ya 6
Awamu inatokana na Mtu, na sio vipindi, ingekuwa hivyo ukiacha kipindi Cha Mwalimu. Mwinyi kaongoza vipindi 2, the same kwa Mkapa, Jk. jumlisha kipindi kimoja cha Magu Mpaka leo tungesema Samia ni Rais wa Awamu ya 9.
 
Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .

Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?

USSR
Duuu nimekusoma kaka!! Kumbe betting sio mpira tu hata hapa Jamii forum.😀🤣🤣

All in all USSR wewe ni akili kubwa nimekusoma ,natamani ikitokea hivyo MPango naye atangaze kuwa ni AWAMU YA SABA, anamlizia, halafu anakuwa na miaka 10 ya kugombea yaani vipindi viwili 🤣🤣😀😀🤣
 
Eti shujaa Magufuli..

Wendawazimu siku hizi ndio mashujaa Africa .
 
Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .

Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?

USSR

Naogopa kusikia Rais anawasalimu yuko anachapa kazi

 
Kama mwakani wakirudia ule ubaradhuli wa 2020 basi Mapema 2026 parapanda italia tena na Mpango kama kawa anaula naye akirudia yale yale Israili atapiga kazi kama kawaida. Habari ndiyo hiyo hadi wanyooke.
 
je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?

USSR
Kwanza nani kakuambia DR
Mpango ndio VP 2025?。Nikimsoma Mpango usoni, japo nimeelezwa Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?! lakini something tells me DR Mpango
ataomba kupumzika!na sababu ya kuomba kupumzika pia naijua,ila kinga ya the right to privacy hivyo msiniulize!。
P
 
Kuna siku tutaongozwa na rais ambaye hajaw...., au basi.
 
Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .

Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?

USSR
Kwanini ukiwa ccm na akili inakuwa fupi?!
 
Back
Top Bottom