UmenyoshaAtumieje wakati yeye ni Makamu? Ungeuliza hivi, kwa kuwa Rais Samia anataka kugombea urais 2025, je ni lazima amchukuwe Dr. Mpango kuwa Mgombea mwenza? Ikizingatiwa kwamba Chama ndicho kilichomteua?
Kama huo mwaka 2026 Dk Mpango atakuwa makamu wa Rais jambo hilo linawezekana bila wasiwasiNi swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR
Ndio tunasubiria tukio hilo kwa hamu.Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR
Wa kutumbua papo hapo hakuna cha simile nipite na motokali yanguMagufuli alikuwa shujaa wa kitu gani?
Trump Won.swali gani hilo tena? mbona raisi samia alivyochukuwa ktk kwa Magu hamkuuliza hilo swali? hata kwa raisi P.Mpango (PhD) itakuwa hivyo hivyo pia, aliyekupa wewe ndiye atampa na yeye pia, iko hivyo tangia lini zito kabwe akaishutumu serikali ya raisi tena muislamu mwenzake kwa utekaji na utesaji? ukiona hivyo ujue mambo yamebana haswa, ahadi ni deni walisema wahenga wetu …
Ndiyo. Na uzuri wa swali lako ni kwamba litajibiwa kwa vitendo 2026.Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR
Ni mpaka tu sisi tuliosoma Kyuba (Cuba) tunaweza kufungua hii nywira (Code).Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR
Yaani hata sijui kivipi2026 kivipi? 🐼
Huyu Simbilisi mtata sana katuacha njia panda 😂Yaani hata sijui kivipi
Tuambie mambo hayo yatakuwa lini?Ndio tunasubiria tukio hilo kwa hamu.
Vipi March 17 2026 kitanuka tena?Ni swali tu hakuna utabiri wala lolote baya .
Swali : Kwakuwa baada ya kifo cha shujaa Magufuli makamu wake Samia Suluhu Hasani alipewa nguvu ya kisheria ya kumalizia muda wa Magufuli kisha na yeye anaweza kugombea tena urais mwakani na kumalizia kipindi kimoja je kwa mfano ikatokea mwaka 2026 baada ya mama kushinda je mpango anaweza kutumia sheria ile ile kupata kumalizia kipindi cha Samia na kisha 2030 agombee ili kumalizia kipindi kimoja ?
USSR