Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

EWE KAFIRI UMEISHA BARIKIWA KANISANI?
KATIKA AGANO JIPYA YESU AKASEMA : "EWE WAJAWANGU NA IKIWA MNAUTAKA UFALME WANGU BASI UNAKUPASENI KUWA MASHOGA KAMA ILIVYO KWANGU NA VIZAZI VYANGU NA NI RUHUSA KUBARIKIWA KANISANI"

Kwahiyo tunakubaliana kabisa pasina shaka Yesu si mtume isa.
 
Hata mkiwekwa milioni nitamchagua yeye tu, kazi bure!
Tukiingia kwenye mnada huyo ulienae haruhusiwi kushiriki yeye kashajipakulia minyama itakuwa ni kukopia mtihani maana anajua password zako atashinda kabla ya uchaguzi kama ccm, kwanza nikuulize wewe ni pisi kali? Kama sio mimi pia nitajitoa maana mimi ni mzee wa pisi kali sio viswaswadu.
 
Tukiingia kwenye mnada huyo ulienae haruhusiwi kushiriki yeye kashajipakulia minyama itakuwa ni kukopia mtihani maana anajua password zako atashinda kabla ya uchaguzi kama ccm, kwanza nikuulize wewe ni pisi kali? Kama sio mimi pia nitajitoa maana mimi ni mzee wa pisi kali sio viswaswadu.
Mimi mbovu kishenzi, huyo kaka mzuri mwenyewe kanipendea mengine sio uzuri 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom