hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?