SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkamalizanaje mkuu! 🤣🤣🤣Kuna siku nimempigia demu wangu simu baada ya kuhis ana nicheat mida hio... Maana nakuwaga na hizo hisia..
Sasa akawa amepokea,.. binafsi nakuwaga makini sana kusikiliza sauti around yake. Sasa wakati naongea nae
Akasema please subir nipo na kazi nafanya apa!! Sasa nikawa nazidi kumwongelesha ili nipate sauti ya nyuma yake!
Sasa nikawa nasikia sauti.. ta! ta! ta! ta! ta!
Yaani mtu anaongea Kama anatembea! Halafu anasema Kuna kazi anafanya mara moja nimwache kidog😢..
Nikahis anasukumiwa kitu halafu anaongea na mim
Ukimaliza swali lirudi kwa wanaumeKama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
Inauma sana, demu akiwa anapelekewa moto na mwamba huku anaongea na simu!! Kikubwa tuoe tuu... Tuache zinaaMkamalizanaje mkuu! 🤣🤣🤣
Bado una date naye!!
Kumbe ulimuoa!??? Pole umeliwa mkuuu!!Inauma sana, demu akiwa anapelekewa moto na mwamba huku anaongea na simu!! Kikubwa tuoe tuu... Tuache zinaa
Nyie tena mnalalamika...mnaotoa hadi namba zetu tuje kuchambwa?Kama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
Kwanini Uliolewa nae?Kuhusu vi bamia tutasimulia 🤭😅mtatusamehe kwa kweli
Sijamuoa kaka! Natafuta mwingne tuu yeyote atakayepita mbele yangu fresh ila huyu bado najikongoja naeKumbe ulimuoa!??? Pole umeliwa mkuuu!!
Umetumia Nguvu kubwa sana kuandika.Kwanini Uliolewa nae?
Nyinyi hamjawahi kuwa na akili… kwenye wanawake 10 mwenye akili angalau ya Tia maji tia maji ni mmoja, Tena akifika kwenye 50’s ndo anaanza kukua
Hawako matured hao. Mwanamke mkomavu aliyefundwa na mwenye kujitambua, kamwe hawezi sema madhaifu ya mumewe Kwa mchepuko. Atachepuka na Siri zake namumewe hatozitoa.Kama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuhusu vi bamia tutasimulia [emoji2960][emoji28]mtatusamehe kwa kweli