Swali kwa wanawake tu, ni kwanini mkiwa na mahusiano mengine nje/mchepuko, huwa mnawaongelea vibaya waume zenu?

Swali kwa wanawake tu, ni kwanini mkiwa na mahusiano mengine nje/mchepuko, huwa mnawaongelea vibaya waume zenu?

Tatizo ukishaambiwa unaweza kuliko mume wake ndo unajiona mwanaume sasa wanawake wenye tamaa wanatembea na huo upepo kuhalalisha matamanio yao.
 
Back
Top Bottom