Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Afu weweee..!!! Unaturudisha nyuma banaaa..!!mchepuko maana yake nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu weweee..!!! Unaturudisha nyuma banaaa..!!mchepuko maana yake nini!?
Tupe kisaWapo wengi na nilishawakataza kuwaongelea watu wengine
Tupe kisaTena ukitaka ujue vinzur kuhusu mme wake katikati ya mechi mambo yamenoga muulize kitu kuhusu mme wke. Hakika atakwambia mpka kiwango Cha mahali alicho lipa hku akimtukana matusi mkubwa makubwa
Nimeshangaaa sana aisee hili swali ni la wanawake lakini wanaojibu ni wenye I'd za kiume halafu angalia jibu la post inayofuata baada ya post yako.Lakini si wameulizwa wanawake ama sijaelewa?
Tatizo linaanzia kwenye kuchepuka, hapo tayari mahusiano yana shida. Ila wakati mwingine unajua mume wako naye anachepuka, au hakufikishi 💦, wengine wagonjwa inapita mwaka mzee kila akijaribu kuisimamisha anashindwa. Anyway, kusema mambo ya mwezako siyo sawa, ni kukosa heshima ( ila kama unachepuka tayari ushakosa heshima, so 🤷🏽♀️)Kama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
sasa jamani,, sijaolewa nataka nijue maana yake kama ni muhimu basi namimi nikiolewa nipate io mchepuko.Afu weweee..!!! Unaturudisha nyuma banaaa..!!
Sasa wewe kama hujui, umejuaje kwamba mchepuko anapatikana baada ya kuolewa..!! yaani bado utaturudisha nyuma sana ujuwe..!!sasa jamani,, sijaolewa nataka nijue maana yake kama ni muhimu basi namimi nikiolewa nipate io mchepuko.
io mahusiano mengine, kwenye title apo,nmejua tu n mtu aliyeko ndaniSasa wewe kama hujui, umejuaje kwamba mchepuko anapatikana baada ya kuolewa..!! yaani bado utaturudisha nyma sana ujuwe..!!
Wapo sahihi kuwaongelea vibaya lengo wasionekane malaya...Kama kichwa cha habari kinavyosema
Napenda tu kujua ni kwanini mkiwa na michepuko huwa mnawongelea vibaya Sana waume zenu ambao ukitoka Kwa mchepuko wako unarudi nyumbani kwake?
Mnapata ujasiri gani au assurance gani kuongea mambo yooooote mabaya ya mume wako Kwa mchepuko wako
Huwa hamuoni kama mnajidhalilisha nyie wenyewe?
Hili jukwaa lishakuwa gumu sana sikuhizi.Mleta uzi kasema wazi kabisa "swali kwa wanawake tu,"Nimeshangaaa sana aisee hili swali ni la wanawake lakini wanaojibu ni wenye I'd za kiume halafu angalia jibu la post inayofuata baada ya post yako.
Huyu Trudie kaongea ukweli kabisa na sijui kashakutana na wanaume wangapi na wakamdanganya. 😅😅😅
Kazi kweli umalayer pro
Lakini si wameulizwa wanawake ama sijaelewa?
Nimeshangaaa sana aisee hili swali ni la wanawake lakini wanaojibu ni wenye I'd za kiume halafu angalia jibu la post inayofuata baada ya post yako.
Huyu Trudie kaongea ukweli kabisa na sijui kashakutana na wanaume wangapi na wakamdanganya. 😅😅😅
Kazi kweli umalayer pro
MPenzi nakupendaHuyu mtoa mada anawaonea tu. Kwanza wanawake wachepukaji ni wachache sana! Wengi wenu ni waaminifu, ukiwemo wewe my babe!