Swali kwa wapinzani: Je, Samia agombee 2025 au ampe kijiti chuma kingine kama Magufuli?

Swali kwa wapinzani: Je, Samia agombee 2025 au ampe kijiti chuma kingine kama Magufuli?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.

Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.

Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na serikali aliyoiacha walivyomsaliti na kuharibu nchi.

So Samia akiwasikiliza na kuamua kumpisha mzalendo na chuma kingine chenye msimamo kama Magufuli wapinzani si mtafurahi ili hata CCM ikishinda nchi iwe salama zaidi?

Au mtaogopa na kukimbia tena?

IMG_20230729_131431.jpg
 
Huwasikiii Chadema? Wanasema wao ndio wapinzani pekee, vyama vingine ni matawi ya CCM
Ni kweli 1992 vyama Vyote viliasisiwa na baba wa taifa kasoro Chadema tu ndio iliasisiwa na Watu waliompinga Nyerere akina Tuntemeke Sanga, Ngaiza, Edwin Mtei, Bob Makani, Mwaikambo nk...nk

Hawa mabwanyenye walikuwa Wapinzani wa kweli tofauti na akina Fundikira
 
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.

Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.

Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na serikali aliyoiacha walivyomsaliti na kuharibu nchi.

So Samia akiwasikiliza na kuamua kumpisha mzalendo na chuma kingine chenye msimamo kama Magufuli wapinzani si mtafurahi ili hata CCM ikishinda nchi iwe salama zaidi?

Au mtaogopa na kukimbia tena?

View attachment 2739496
2025, ccm haipo asema Bwana mtaambiwa mara ngapi msikiee , kama uchaguzi ukifanyika no ccm ilisha kuwa asema Bwana
 
Pamoja na utopolo wa ccm ila wapinzani wana tatizo la kutokuwa na sera inayowatambulisha.

Ni kama wanasubiri ccm ndo iwape sera ya kuipigania kupitia aina ya kiongozi na mfumo wa siasa wa ccm uliopo kwa wakati huo.

Lowasa hafai-Lowasa anafaa
JK dhaifu tunataka raisi asiyecheka na mali za uma-JPM dikteta uchwara
Samia mgeni rasmi maridhiano nchi sasa imekombolewa kutoka kifungoni - Nitaenda kwenye kaburi la JPM kulia sijui kufanyaje.
 
Pamoja na utopolo wa ccm ila wapinzani wana tatizo la kutokuwa na sera inayowatambulisha.

Ni kama wanasubiri ccm ndo iwape sera ya kuipigania kupitia aina ya kiongozi na mfumo wa siasa wa ccm uliopo kwa wakati huo.

Lowasa hafai-Lowasa anafaa
JK dhaifu tunataka raisi asiyecheka na mali za uma-JPM dikteta uchwara
Samia mgeni rasmi maridhiano nchi sasa imekombolewa kutoka kifungoni - Nitaenda kwenye kaburi la JPM kulia sijui kufanyaje.
Kipindi cha JK walisema nchi hii inahitaji Rais dikteta
 
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.

Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.

Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na serikali aliyoiacha walivyomsaliti na kuharibu nchi.

So Samia akiwasikiliza na kuamua kumpisha mzalendo na chuma kingine chenye msimamo kama Magufuli wapinzani si mtafurahi ili hata CCM ikishinda nchi iwe salama zaidi?

Au mtaogopa na kukimbia tena?

View attachment 2739496
Ili mikutano ya vyama vya siasa izuiwe au!! Au ili tuanze kuona watu wakiuawa au!! Au uhuru tulionao wa kukosa chochote upotee tena? Mungu tunusuru tusiridi tena huko tulikotoka awamu ya tano ikuwa ya kishetani
 
Back
Top Bottom