Swali kwa wapinzani: Je, Samia agombee 2025 au ampe kijiti chuma kingine kama Magufuli?

Swali kwa wapinzani: Je, Samia agombee 2025 au ampe kijiti chuma kingine kama Magufuli?

Wapinzani hawamuogopi mgombea yoyote toka CCM, hata ikiwezekana Magufuli afufuke wampe nafasi ya kugombea ni sawa. Tatizo la wapinzani sio mgombea yoyote wa CCM, bali kiongozi mlevi wa madaraka.
Wapinzani wanasema CCM ni mbaya ila kuna viongozi wenye afadhali kuliko wengine, mfano sasa hivi wanasema Samia ni mbovu kuliko viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea.

Pia wanasema Ndugai ni shujaa na nabii aliyetabiri nchi kupigwa mnada

Waliwahi kusema pia Lowassa alikuwa bora kuliko Kikwete na Magufuli, wakasema tena Kikwete alikuwa bora kuliko Magufuli

Je Samia aachie kijiti 2025 amuachie japo mtu mwingine kama Magufuli ambaye atakuwa na afadhali?
 
Wapinzani wanasema CCM ni mbaya ila kuna viongozi wenye afadhali kuliko wengine, mfano sasa hivi wanasema Samia ni mbovu kuliko viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea.

Pia wanasema Ndugai ni shujaa na nabii aliyetabiri nchi kupigwa mnada

Waliwahi kusema pia Lowassa alikuwa bora kuliko Kikwete na Magufuli, wakasema tena Kikwete alikuwa bora kuliko Magufuli

Je Samia aachie kijiti 2025 amuachie japo mtu mwingine kama Magufuli ambaye atakuwa na afadhali?
Sio wapinzani wote wanasema hivyo, hao ni baadhi ya wapinzani, na wanatumia uhuru wao wa kujieleza, ama kuna ubaya kwenye hilo?
 
Kwamba unawatumia WAPINZANI kumfikishia ujumbe sa100 asigombee 2025?

Na Kweli atakusikia na

HATOGOMBEA!!!
 
Shida ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo vinakibeba Chama tawala!
Kama si hivyo CCM hata wangemweka nani, kwa chaguzi zote zilizopita CCM ilishakataliwa kwenye sanduka la kura!
 
Sio wapinzani wote wanasema hivyo, hao ni baadhi ya wapinzani, na wanatumia uhuru wao wa kujieleza, ama kuna ubaya kwenye hilo?
Kiongozi mkubwa wa upinzani kama Lissu akisema jambo si anawakilisha chama?
 
Ushasema Wapinzani alafu watake mtu kutoka Upinzani ?
 
CCM walete Magufuli mwingine sio?
Haya ni aina ya maswali ya kijinga kweli. Yaani yanaonyesha Tanzania ina tabaka mbili za Wanaccm na wasio wana CCM.
Kwamba Magufuli kwa vile alikuwa anawapoteza wasio wanaccm, anashambulia wasio wanaccm kwa risasi na vifungo basi kwao ni mzuri hana shida na inafaa aje mwingine kama yeye!
Huu ni upumbavu au unyani kama alivyowahi sema Mtikila.
Yaani sasa hivi ccm sio sera tena bali ni kikundi fulani (kama vile kundi la shetani) ambalo maslahi yao kwanza kwani wengine ni wageni nchi hii.
 
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.

Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.

Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na serikali aliyoiacha walivyomsaliti na kuharibu nchi.

So Samia akiwasikiliza na kuamua kumpisha mzalendo na chuma kingine chenye msimamo kama Magufuli wapinzani si mtafurahi ili hata CCM ikishinda nchi iwe salama zaidi?

Au mtaogopa na kukimbia tena?

View attachment 2739496
Kama Samia ni kiongozi mbaya basi UPINZANI wanapaswa kufurahi kwa vile WATAMSHINDA asubuhi na mapema.

Ajabu wao tena wanasikitika kuona Samia ni mbaya, hakubaliki na CCM itashindwa.

Wakisema hivyo uijuwe amewabana, na kinyume chake ndiyo ukweli kuwa Samia mpaka 2030
 
Kitendo cha Samia kuwapa Polisi mabilioni ili kununua vifaa vikimemo maji ya pilipili ni kwamba anajiandaa kupora uchaguzi.

Hajui kuwa tumeshakuwa sugu😁 mimi nimejiandaa na virungu na mabomu ya machozi ila safari hii tunajizatiti.
 
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.

Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.

Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na serikali aliyoiacha walivyomsaliti na kuharibu nchi.

So Samia akiwasikiliza na kuamua kumpisha mzalendo na chuma kingine chenye msimamo kama Magufuli wapinzani si mtafurahi ili hata CCM ikishinda nchi iwe salama zaidi?

Au mtaogopa na kukimbia tena?

View attachment 2739496
Bwana Johnny Sack, swala si wapinzani tu. Huyo Lissu ama Mbowe wanatetea raslimali za nchi. Mnachowaza nyie ni uvyama na mawazo ya watu kama wewe hayawezi kwenda zaidi ya hapo. Tupo watz wengi tusioridhishwa na ugawaji wa rasilimali za nchi kwa wageni.

Tuseme kila mtu ajipendekeze kama wewe, na tusipaze sauti kwenye raslimali zetu, wajukuu zako wataishije, au nao wataishi kwa kujipendekeza kama wewe?
 
Back
Top Bottom