Hawa flat earth society ukiwasikiliza kama vile wana point flani hiviiWell, jua lina zunguka kutoka upande mmoja kwenda mwingine, watu wa zamani walikuwa hawana saa, hivyo walitumia kivuli cha jua kutambua muda.
View attachment 3114343
Majibu ni haya hapa.Swali lako lina msingi mzuri, lakini kuna sababu kadhaa za kisayansi zinazofanya ndege au helikopta zisifanye hivyo.
1. Ndege, Helikopta, na Atmosphere Vinazunguka Pamoja na Dunia: Dunia inazunguka kwa kasi ya takriban 1,674 km/h kwenye ikweta. Hata hivyo, si Dunia pekee inayozunguka β angahewa, ikiwa ni pamoja na ndege na helikopta, pia inazunguka pamoja na Dunia kwa kasi hiyo hiyo. Kwa sababu ya hili, kama ndege au helikopta itapaa juu, itabaki ikiendelea kusogea kwa kasi ile ile ya mzunguko wa Dunia.
2. Kanuni ya Inertia: Kanuni ya kwanza ya Newton ya mwendo inasema kwamba kitu chochote kilicho katika mwendo kitaendelea katika mwendo huo isipokuwa nguvu ya nje itumike kukibadilisha. Kwa kuwa ndege au helikopta tayari zina mwendo wa kasi ya mzunguko wa Dunia, zinahitaji nguvu kubwa sana ili kuzizuia zisisogee pamoja na Dunia.
3. Uhitaji wa Nguvu za Nje:Ili ndege au helikopta zisitii mwendo wa Dunia, zingehitaji nguvu ya nje (kama vile injini zenye nguvu) ili kuondoa mwendo huo. Hii haifanyiki kwa sababu ni ngumu mno na kinyume na kanuni za fizikia za kawaida.
Kwa hiyo, ndege au helikopta zinapaswa kuruka kwa kawaida ili kufika mahali zinapohitaji, kwa sababu ziko ndani ya angahewa inayozunguka pamoja na Dunia.
Hili ni swali fikirishi mno! Linataka logic sana kulijibuNje ya mada.
Nakumbuka niliwahi kuchapwa na mwalimu wangu wa physics kwasababu ya kuuliza maswali ya design hii.
Niliwahi kuuliza swali hili; assume una njiwa (ndege) wenye jumla ya uzito wa kilograms 1000 kisha ukawapakia ndani ya ndege (aeroplane) na hao njiwa wakawa wanaruka (wanapaa) pasipo kutua ndani ya hiyo aeroplane, swali; Je, ndege (aeroplane) hiyo itakuwa imebeba uzito kiasi gani? Kwanini?
π π π πKwamba ukiwa umepanda treni upo kwenye corridor ukiruka juu ukitua utakuta treni imesogea na upo behewa la pili ?
Ukiwa ndani ya gari ukiruka ndani Kwa ndani Huwa unaachwa na gari? π π π"Kama tunaambiwa Dunia inazunguka kwa kasi ya 1,674km/saa, kwanini ndege au helikopta hazipai juu, zikaganda na kusubiri sehemu inapohitaji kwenda ifike kisha itue?"
Nadhani swali limefanana hivi; kama Dunia inazunguka kasi hiyo, kwanini binaadam akiruka anatua palepale na si sehemu nyingine?
Tunasoma majibu yenu sehemu ya maoni. Karubuni
Kasi ya mzunguko wa Dunia imetokana na kazi za wanasayansi kadhaa waliogundua jinsi Dunia inavyozunguka na jinsi ya kupima kasi yake.π π π π π π π nimejiwazia kaujinga fulani hapa! Enewei wasomi mnisaidie hapo
Nani aliyewahi kupima spidi ya dunia akapata hizo 1674km/h?
Nilimuuliza mwalimu wangu wa fizikia miaka hiyo nasoma kidato cha tatu, alinichapaHili ni swali fikirishi mno! Linataka logic sana kulijibu
Uzito wa njiwa utakuwa kilo ngapi?Mimi huwa napenda kujibu maswali ya kiwaki kama yaha, wewe ungekuwa mwanafunzi wangu wala nisinge kupiga.
Hao njiwa wakiruka humo ndani ya ndege uzito wao utaendele kuhesabika hata kama hawata tua, hii ni kwasababu kwenye cabin kuna hewa ambayo pia ina uzito unajumlishwa kwenye total mass ya ndege,
Njiwa wakipaa humo watasababisha mgandamizo wa hewa humo kwenye cabin yaani mass of air displaced ni sawa na mass ya njiwa.
Ndio maana nakwambia kua wewe ni punguani,vicomment vyako vingi hapa JF vimejaa upumbavu ulioujaza kichwani,Nimekashifu wapi?
Madrasa ziko mitaani na tunaziona na ma ustaadhi na viboko vyao kulazimisha watoto wakariri kuruani na kujua kusoma na kuandika hayo maandishi ya kiarabu ya kutoka kulia kwenda kushoto kwani siri?
Mitaani Madrasa zimezagaa na ma Ustaadhi wana viboko mikononi
Takbiriiiiiiiii
Nje ya mada.
Nakumbuka niliwahi kuchapwa na mwalimu wangu wa physics kwasababu ya kuuliza maswali ya design hii.
Niliwahi kuuliza swali hili; assume una njiwa (ndege) wenye jumla ya uzito wa kilograms 1000 kisha ukawapakia ndani ya ndege (aeroplane) na hao njiwa wakawa wanaruka (wanapaa) pasipo kutua ndani ya hiyo aeroplane, swali; Je, ndege (aeroplane) hiyo itakuwa imebeba uzito kiasi gani? Kwanini?
πππ haya ya kusema assume halafu kwenye conclusion unasema therefore!!Masomo ya sayansi ni kama kufundishwa kukariri Kuruani na kuelewa yale maandishi ya kiarabu kujua kusoma na kuandika kutoka kulia kwenda kushoto
Lakini masomo pekee unayoweza pata hata mia kwa mia level yeyote ni hesabu na fizikia hayo mrngine utapeli mwingi ohh elezea sababu za mkoloni mjerumani kukataa kuipa uhuru Tanzania
Itategemea mwalimu anayesahihisha na kama anakupenda au anakuchukia aweza kuwa biased lakini maswalinya fizikia na hesabu yamenyooka mwanafunzi akipata kapata nwalimu hana ujanja
Sisi pia tulikuwa Globe believer, na tulitetea sana hiyo theory, Lakini kwasababu akili zetu zipo open minded, tulikubali kujifunza na kudadisi upya, ndipo tukajua ukweli.Hawa flat earth society ukiwasikiliza kama vile wana point flani hivii
Hako ka kiumbe ndio kalivyo,kameona hakana cha kuchangia hapa ndio kakaamua kuleta upuuzi wake,ni kamtu kamoja kasikokua na faida yeyote ile zaidi ya ujinga tu.Watu wanajadili mambo ya sayansi,wewe unaleta mambo ya kufananisha kusoma kuran kutoka kushoto kwenda kulia.
Kuna wakati hata kama una chuki na imani fulani yakupasa ufiche maana tunakuona kituko
ππNi sawa na mwanafunzi amuambie mwalimu athibitishe kwamba binadamu alikuwa sokwe...
Hapo lazima fimbo ihusike
Nilitaka kujibu lakini naona kama umemaliza mambo yote muhimu.Swali lako lina msingi mzuri, lakini kuna sababu kadhaa za kisayansi zinazofanya ndege au helikopta zisifanye hivyo.
1. Ndege, Helikopta, na Atmosphere Vinazunguka Pamoja na Dunia: Dunia inazunguka kwa kasi ya takriban 1,674 km/h kwenye ikweta. Hata hivyo, si Dunia pekee inayozunguka β angahewa, ikiwa ni pamoja na ndege na helikopta, pia inazunguka pamoja na Dunia kwa kasi hiyo hiyo. Kwa sababu ya hili, kama ndege au helikopta itapaa juu, itabaki ikiendelea kusogea kwa kasi ile ile ya mzunguko wa Dunia.
2. Kanuni ya Inertia: Kanuni ya kwanza ya Newton ya mwendo inasema kwamba kitu chochote kilicho katika mwendo kitaendelea katika mwendo huo isipokuwa nguvu ya nje itumike kukibadilisha. Kwa kuwa ndege au helikopta tayari zina mwendo wa kasi ya mzunguko wa Dunia, zinahitaji nguvu kubwa sana ili kuzizuia zisisogee pamoja na Dunia.
3. Uhitaji wa Nguvu za Nje:Ili ndege au helikopta zisitii mwendo wa Dunia, zingehitaji nguvu ya nje (kama vile injini zenye nguvu) ili kuondoa mwendo huo. Hii haifanyiki kwa sababu ni ngumu mno na kinyume na kanuni za fizikia za kawaida.
Kwa hiyo, ndege au helikopta zinapaswa kuruka kwa kawaida ili kufika mahali zinapohitaji, kwa sababu ziko ndani ya angahewa inayozunguka pamoja na Dunia.
.Kasi ya mzunguko wa Dunia imetokana na kazi za wanasayansi kadhaa waliogundua jinsi Dunia inavyozunguka na jinsi ya kupima kasi yake.
Hii inahusiana na uelewa wa mzunguko wa Dunia na urefu wa siku, kazi iliyofanywa na wanasayansi kama Galileo Galilei, Isaac Newton, na Jean Foucault.
Hapa kuna njia rahisi ya kuelewa jinsi kasi ya mzunguko wa Dunia (1,674 km/saa) ilivyopatikana:
lugha nyepesi ya kimahesabu
Kasi ya mzunguko=40,075 km Γ· 24 saa β 1,674 km/saa
1. Urefu wa mzunguko wa Dunia: Dunia ni duara, na mduara wake wa ikweta ni karibu kilomita 40,075. Hii ni umbali unaozunguka Dunia yote kwenye mstari wa ikweta.
2. Muda wa mzunguko wa Dunia:
Dunia inazunguka mara moja kila baada ya takriban masaa 24 (siku moja).
3. Hesabu ya kasi ya mzunguko.
- Kasi ya mzunguko inapatikana kwa kugawa urefu wa mzunguko wa Dunia na muda wa mzunguko. Hivyo,
Mtu ambaye aliweka bayana mzunguko wa Dunia kwa kutumia majaribio ya kifedha na ya kitaalamu ni Jean Foucault. Mnamo mwaka 1851, alitumia pendulum maarufu inayoitwa Pendulum ya Foucault ili kuthibitisha kuwa Dunia inazunguka. Pendulum hiyo inaonyesha mzunguko wa Dunia kutokana na jinsi mwelekeo wa mzunguko wa pendulum unavyobadilika polepole kwa siku nzima.
Kwa hiyo, kasi ya Dunia ilipimwa kwa kuchanganya uelewa wa kijiografia, hesabu, na majaribio kama ya Foucault, na wanasayansi wa sasa wanaweza kudhibitisha kwa vifaa vya kisasa kama satellites.
Naimani umepata kitu hapo.