Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mungu ana sababu zake za kufanya hivyo i.e. kuumbaya mabaya na ubaya, sababu ambazo sisi wanadamu hatuwezi kuzijua.
Hii ni sawa na kusema "the lord works in mysterious ways" the ultimate surrender of the theist when cornered.
Unajuaje kwamba mungu ana sababu zake na si kwa sababu hakuna mungu?