Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Eh lina mdondosha linaongea linataka hadi damu za watuUpo mkoa gani? Linajidhihirisha?
nakazia [emoji419][emoji419]Picha yake tafadhali
Tatizo hampo na msaada humu unaona mtu anahitaji kisana mtu tu anaongea ujinganakazia [emoji419][emoji419]
ila iwe ya uyo jini tuone km anafanana na wa mayele au
Eh lina mdondosha linaongea linataka hadi damu za watu
Acha kutengenezaUmemjaribu kitimoto...???
Huyo ni dada Maua, mwambie aende akamwagiwe maji na yule Mchungaji kule karibu na ufukwe wa bahariHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Jini linamdanya nini?Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Kesharudi kutoka tanga ndugu Namibi(a)? πHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
ipo Nguvu katika Jina la Yesu, mwambie aokoke, asafishwe kwa Damu ya Yesu hapo hayo majini atayasikia tu. Wengi wenu hata sasaivi mnajifanya kufunga kwaresma, ila hamjui hata mnachofunga, mnafunga kidini tu na hamtapata chochote, mnapoteza muda wenu kwasababu mnafuata dini hamfuati Mungu kwa Yesu Kristo. unafunga nini wakati haujampa Yesu Maisha yako? lazima uwe umeokoka, umepakwa Damu ya Yesu na apo ndipo utapata access kwa Mungu.Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.