Swali nani anaweza msaidia huyu dada tumechoka 😴😪

Swali nani anaweza msaidia huyu dada tumechoka 😴😪

Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.

Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .

Aisee.
Mwambie anione
 
Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.

Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .

Aisee.
Mwambie anitafute pm
 
Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.

Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .

Aisee.
Kama kweli analo jini korofi. uniletee. Kuna njia za kupita
 
Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.

Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .

Aisee.
Hela ipo tumsaidie
 
Mwambie huyo Dada kua mganga asiye na longolongo wala tamaa nipo hapa,njoo PM nione picha yake ili nijue kabisa kua matibabu yake yanahitaji tuanzie sehemu gani ya mwili wake,kupona ni uhakika kabisa,

Nakaribisha maswali na maoni toka kwake.
 
Mtu ana matatizo ya akili mnasingizia mapepo?! Mwambie kama yupo tayari akalipe psychiatrist mzuri ampe muongozo mbona atarudi saws tu kudadadeki.
 
Back
Top Bottom