Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhMpeleke ngurumo ya upako
huo ni uganga, ataongezewa mapepo mengine yenye meno na pembe. aokoke tu inatosha, hataamini macho yake, atapona kabisa.
Ni kwelihuo ni uganga, ataongezewa mapepo mengine yenye meno na pembe. aokoke tu inatosha, hataamini macho yake, atapona kabisa.
Huo ni uganga??huo ni uganga, ataongezewa mapepo mengine yenye meno na pembe. aokoke tu inatosha, hataamini macho yake, atapona kabisa.
Mwambie anioneHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Mwambie anitafute pmHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Kama kweli analo jini korofi. uniletee. Kuna njia za kupitaHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
hahahah jidanganyeeMwambie aishi maisha ya usafi na aondoe negativity kuwa karogwa au katupiwa majini.
Self-healing ndo itamtoa hapo katika huo mkwamo.
Hela ipo tumsaidieHuyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa waganga amechoka mijusi minyoka mikila kitu anatumiwa .
Aisee.
Kiasi ?Hela ipo tumsaidie