The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,242
- 2,544
Mtafutieni mafuta ya mzeituni hayatalitoa ila yatalituliza ajipake na kunywa asubuhi na jioni.
Akiweza Kwa kujipaka achanganye na vitunguu swaumu vilivyotwangwa.
Atapata afueni kubwa.
Kumtoa jini mara nyingi itahusisha kafara la Damu, Kwa hivyo ukienda Kwa mganga akakuagiza mnyama kuna uwezekano mgonjwa wako atapona.
Kuokoka ni sawa ila kutalituliza hilo jini ikiwa hatotenda dhambi na akawa mwombaji sana.
Kutoka ni mpaka ampate Mtumishi mwenye kipawa Cha uponyaji, siwazungumzii Hao maarufu unaowajua...!
Akiweza Kwa kujipaka achanganye na vitunguu swaumu vilivyotwangwa.
Atapata afueni kubwa.
Kumtoa jini mara nyingi itahusisha kafara la Damu, Kwa hivyo ukienda Kwa mganga akakuagiza mnyama kuna uwezekano mgonjwa wako atapona.
Kuokoka ni sawa ila kutalituliza hilo jini ikiwa hatotenda dhambi na akawa mwombaji sana.
Kutoka ni mpaka ampate Mtumishi mwenye kipawa Cha uponyaji, siwazungumzii Hao maarufu unaowajua...!