carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,771
Moyo unaweza kusimama zikafanyika jitihada kama CPR na mtu akaamka..Ooooh kumbe!!
Kuna watu na bahati zao unakuta moyo umesimama na ECG inasoma flat lakini akifanyiwa cpr moyo unarudi tena na anaishi kama kawaida..
Kwahio kabla ya kumtangaza mtu kafa lazima vitu vyote hivi vijaribiwe ili kuprove kama mtu kafa kweli. .