pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Time to departure will you be ready when that day has come, pumzi haiuzwi nime elimika humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumfanyia mtu CPR criteria zake niMtu aliezimia unaweza kumfanyia cpr au unamuacha tu atazinduka mwenyewe
Naomba unijuze,Akikubali tuu kuingia kwenye jokofu basi kwangu huyo ni mfu parcee
Shida sanaNiamini mimi watanzania(africa) wengi wanafia mochwari...
Hiyo dawa IPO maduka yakisunna, jina silifaham ila iliwahi kutumika ndani mwetuHiyo dawa inapatikana wap shekh, je inaruhusiwa mahospitalini?
Ni kinyume cha utaratibu katika fani ya tiba kupeleka mwili chumba cha maiti kabla ya kufanya uhakiki kama mtu kafa kweli au amezimika tu. Mwili unaopelekwa chumba cha maiti ni ule tu uliohakikiwa na kutangazwa mfu.Umefafanua Kwa kina lakini, je vipi maiti inapozinduka mochwari hatua gan hufanywa au ndipo rungu hutembea kuondoa ushahidi?
Hata mimi nakubaliana na wewe mkuuIna maana ukikohoa mochwari ni kosa kwanini wasikurudishe wodini upatiwe matibabu zaidi ,Tanzania ukute watu wengi wanazikwa wakiwa hai
Ubongo huwa unakufa baada ya kukosa hewa ya "oxygen" ambayo husafirishwa kwenye ubongo na damu. Baada ya dakika 4 au 5 za ubongo kukosa hewa na damu huwa unakufa na ukifikia hatua hiyo hata kama mapigo ya moyo yataamshwa na kuanza kusukuma damu, mtu husika hataweza kupata fahamu tena, wala kujitambua. Ubongo ukifa, umekufa na hakuna kinachoweza kufanyika kuurudisha katika uhai wake.Kwanini ubongo unakufa?hauwezi kurudishwa katika hali yake haraka
sio Masaa ni dk 72 moyo ulisimamaKuna makala nilisoma zamani kidogo inasemekana kuwa katika nchi nyingi za kimaskini watu wengi wanazikwa wakiwa hai. Kutokana na uduni wa vifaa na wakati mwingine uhaba na ezembe wa wataalamu basi mtu anaeeza kuwa kwenye coma ila akatangazwa kuwa kafa. Wahudumu wa afya wanacheki pulses tuu trna manually wasipozipata wanasema mtu kafa kumbe wakati mwingine mtu huyo hajafa bado.. Mnakumbuka yile mchezaji mpira aliyeangukaga uwanjani akazimia (akawa in a state of death) kwa masaa 72? Basi yule angekuwa nchi zetu hizi ageshafukiwa aisee
Mkuu umeandika kwa kifupi mno wakati tulitegemea uje na majibu ya kina hapa ili kuondoa utata. Plc bro tupe ufafanuzi kwa hili.Akikubali tuu kuingia kwenye jokofu basi kwangu huyo ni mfu parcee
Hii ya mboni respond na mwanga hukubali hata kwa mtu aliyezimia yaani hana fahamu?Simple kuifanya au si jibu sahihi kuthibitisha hilo.?
Note that.
Mboni au kiini chako cha jicho cheusi kile ktkt ya jicho lako ambalo huruhusu mwanga kuingia ndani ya jicho kulingana na uhitaji wake huwa inatanuka na kusinyaa kulingana na kiasi cha mwanga, hvyo mwanga ukiwa mwingi husinyaa kupunguza kiasi cha mwanga na mwanga ukiwa kidogo hutanuka kuruhusu kiasi cha mwanga kuingia na kuwezesha jicho kuona vzr.
Mtu kama amekufa ufanyaji huu wa kazi ktk jicho hupotea na kubaki kama ilivyo hivyo ukimulika kwa tochi ktk kiini cha jicho haitatanuka wala kusinyaa ukiwa unafanya kusogeza mwanga kwa karibu na kuupunguza kwa kuweka mbali lkn mboni itabaki kiini kitabaki kama kilivyo hakitanuki wala kusinyaa hapo utajua ubongo tayari umezima. ( dilated pupil )
Si kweliHii ya mboni respond na mwanga hukubali hata kwa mtu aliyezimia yaani hana fahamu?