Swali: Ni kitu gani kwenye mwili kikipimwa huwa kinathibitisha mtu kufariki?

Swali: Ni kitu gani kwenye mwili kikipimwa huwa kinathibitisha mtu kufariki?

Kuna dawa moja yakisunna anapakwa kwenye pua, hiyo dawa kama upo hai baas unapiga chafya na kama umekufa haupigi chafya

Ndio maana waislam tunatakiwa baada ya kupiga chafya tuseme Alhamdulillah (ikiwa na maana ya kumshukuru mungu Kwa uhai) na hats Saydna Adam baada ya kupuliziwa upepo akapiga chafya na gibril akaitikia "yahamkallah"

Em achana haya mambo tunataka professional description
 
Kuna dawa moja yakisunna anapakwa kwenye pua, hiyo dawa kama upo hai baas unapiga chafya na kama umekufa haupigi chafya

Ndio maana waislam tunatakiwa baada ya kupiga chafya tuseme Alhamdulillah (ikiwa na maana ya kumshukuru mungu Kwa uhai) na hats Saydna Adam baada ya kupuliziwa upepo akapiga chafya na gibril akaitikia "yahamkallah"
Mkuu naomba kujua kma kunq dawa ya kisunn ya mtu mwenye matatizo a Figo. Mfano Figo kujaa maji.
Asante
 
Back
Top Bottom