Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

Lete habari, hujasikia fununu kuwa DPPccm anampango wa kukata rufaa dhidi ya hukumu ya mahakama kuu kanda ya Tabora?
Matusi yameisha? Bavicha bana wewe unadhani ukinituka mie takasirika wala kurudisha tusi? Hauna tusi jipya kamanda?
 
Huo ni mtazamo wako na nimawazo mgando!

Uhusiano wa kidiplomasia utamsaidia nini mtu wa Kagera au Kigoma

ambaye hana amani na nchi yake kisa wahamiaji haramu ambao wanafanya

vitendo vya ujambazi hebu tafakari kwanza mkuu.
mtazamo wangu ni mgando na wala hautetereki!mtuzamo wako ni narrow/tunnel shaped.Siwezi kuingia kwenye mtego wa kutafuta sympathy kwa watanzania kisa ni ugomvi wenu katika majadiliano ya amani ya congo!

Diplomasia ni kuleta marais wa USA na CHINA kuja kufuja maliasili zetu na sio kuishi vizuri na majirani zetu!

Kama Rais hutakiwi kuingalia amani ya Kagera na Kigoma pekee!
Amani ya kweli ni kuzuia na kudhibiti mashambulizi dhidi ya madaktari,waandishi,waumini,wanachama wa kisiasa na viongozi wa dini.

Wahamiaji haramu tumewapa vyeo kwenye vyama vyetu mbona hatuwapi siku 14?
 
Kumbe hujui Mwanakijiji alifanya uchochezi gani baada ya tragic news za kutoka Zanzibar!!!

Mwambie yeye mwenyewe akutumie. Kumbe wewe humjui vizuri Mwanakijiji, basi ni bora ujiweke naye mbali kumtetea huyu mtu hatari kunaweza kukutia kwenye matatizo usiyoyatarajia...
Mkuu usitake kunitisha kwamba kumtetea Mwanakijiji kunaweza kunitia katika matatizo nisiyoyatarajia, mimi simtetei Mwanakijiji, natetea ukweli, mimi sio muoga, I am ready to die for the truth, tell them that Mjuni ​is ready to stand for the truth and even to die for it.
 
Kumbe hujui Mwanakijiji alifanya uchochezi gani baada ya tragic news za kutoka Zanzibar!!!

Mwambie yeye mwenyewe akutumie. Kumbe wewe humjui vizuri Mwanakijiji, basi ni bora ujiweke naye mbali kumtetea huyu mtu hatari kunaweza kukutia kwenye matatizo usiyoyatarajia...

Unaona sasa unajiuma uma; huwezi kusema. Wewe ndiye uliyetuhumu wewe ndiyo uthibitishe. Wazo hili pia ni gumu kuingia kichwani mwako.
 
Mkuu usitake kunitisha kwamba kumtetea Mwanakijiji kunaweza kunitia katika matatizo nisiyoyatarajia, mimi simtetei Mwanakijiji, natetea ukweli, mimi sio muoga, I am ready to die for the truth, tell them that Mjuni ​is ready to stand for the truth and even to die for it.


Ohoo shauri yako. Mchuma ganga, hula na wa kwao...
 
Unaona sasa unajiuma uma; huwezi kusema. Wewe ndiye uliyetuhumu wewe ndiyo uthibitishe. Wazo hili pia ni gumu kuingia kichwani mwako.

Hii ni dalili kuwa unaona aibu kwa chuki ulizoanza kuzisambaza. Watu wanaokusoma humu na waliosoma thread yako ambayo ilibidi ifutwe immediately kwa kueneza chuki mbaya,wanaona jinsi malengo yako yasivyo mema. Ndio maana mgomo wako wa simu UMEFELI...

Kuna thread moja iliorodhesha baadhi ya harakati zako za kuchochea chuki na vurugu nchini. Sasa kwenye ile list umeongeza harakati nyingine ya kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania. Kwa hiyo updated list toka kwenye thread inayoelezea fitina zako kwa nchi yetu ya awali inakuwa hivi:

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.
 
Mzee Mwanakijiji,

..kwani sheria za Tz zinasemaje kuhusu suala la "illegals"?

..mimi nadhani Mwalimu angefuata sheria za Tz jinsi ya ku-deal na "illegals."

..kwa mfano, hivi mlitegemea Mwalimu angecheka na mtu yeyote yule, raia ,au "illegals," ambaye ameingiza mifugo kwenye misitu ya hifadhi?

..je, Mwalimu angetoa siku 14 kwa majambazi, raia au "illegals," wasalimishe silaha zao? Jasusi atakumbuka jinsi Mwalimu alivyopeleka askari wa JWTZ kushughulikia wale wahuni waliojitangazia uhuru na jamhuri yao kule Mara.

..Kwa hiyo jibu langu ni kwamba Mwalimu angezingatia sheria za Tanzania. Hawa tunaoshughulika nao sasa hivi siyo wakimbizi, ni wahamiaji haramu.

..Kwa mtizamo wangu, tusimkatishe tamaa Raisi Kikwete. Badala yake tum-challenge ashughulike na wahamiaji haramu popote pale ktk Jamhuri yetu.
jokaKuu,
Mwalimu alizingatia sheria. Asingeweza kuwafukuza Wanyarwanda wakati wake kwa sababu wengi wao walikuwa wakimbizi. Mwalimu pia alikuwa nationalist na pan africanist. Alikerwa na hii mipaka ambayo imewagawa Wamasai na Wakurya pande mbili mbli. Mwaka 1975 Mobutu alifukuza Watanzania waliokuwa wanaishi Congo, akiwemo mzee wa miaka 70 aliyeishi Congo kwa miaka 50. Mwalimu alikataa kuwafukuza wakongomani walioko Kinondoni ingawa kuna baadhi katika serikali yake waliotaka afanye hivyo. Naona Kagame amekuwa mwanafunzi mzuri wa sera za Mwalimu. Siyo kwamba namkatisha tamaa Kikwete. Ila nina mashaka na timing yake na lengo. Mpaka watakapofukuzwa wahindi na wapakistani na wachina walio nchini kinyume cha sheria ndio labda nitampa a little bit slack. But this reeks of a village chief miffed by a leader of another village and takes retribution on people from the village of the other chief.
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya "Mkimbizi" na "Mhamiaji Haramu (illegal immigrants)".......besides....wanaondoka si illegal immigrants wa kutoka Rwanda pekee (msi-take advantage ya uhasama wa JK na PK ili kukuza issue ambayo haipo).......Wahima, Wachiga and the likes wako Rwanda na Uganda pia, kuna Waganda, Wajaluo pia ambao ni wahamiaji haramu.......they will go out of our country as well......amri ya JK ni across the board.......
The question is: have you seen any other people apart from the Banyarwanda going home? Nitajie ni Wahima wangapi, Wajaluo na Wachiga walioondoka tangu hili tangazo la Kikwete. Kwa mujibu wa Mwananchi ya leo, wanaoondoka ni Wanyarwanda peke yao. Prove me wrong!
 
Ohoo shauri yako. Mchuma ganga, hula na wa kwao...
Mchuma janga hula na wa kwao!!, janga lipi sasa?, kueleza maoni yangu na kutetea ukweli?
kwangu mimi, kuukana ukweli kwa sababu zozote zile ni sawa na kuukana utu wangu, siko tayari, I will defend my dignity by hooks and crooks.
 
Hii ni dalili kuwa unaona aibu kwa chuki ulizoanza kuzisambaza. Watu wanaokusoma humu na waliosoma thread yako ambayo ilibidi ifutwe immediately kwa kueneza chuki mbaya,wanaona jinsi malengo yako yasivyo mema. Ndio maana mgomo wako wa simu UMEFELI...

Kuna thread moja iliorodhesha baadhi ya harakati zako za kuchochea chuki na vurugu nchini. Sasa kwenye ile list umeongeza harakati nyingine ya kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania. Kwa hiyo updated list toka kwenye thread inayoelezea fitina zako kwa nchi yetu ya awali inakuwa hivi:

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.

naona dose haijakutosha na sasa umepata kitu kinaitwa flight of idies!
Rudi kwenye mada achana na MMM!
 
Hii ni dalili kuwa unaona aibu kwa chuki ulizoanza kuzisambaza. Watu wanaokusoma humu na waliosoma thread yako ambayo ilibidi ifutwe immediately kwa kueneza chuki mbaya,wanaona jinsi malengo yako yasivyo mema. Ndio maana mgomo wako wa simu UMEFELI...

Kuna thread moja iliorodhesha baadhi ya harakati zako za kuchochea chuki na vurugu nchini. Sasa kwenye ile list umeongeza harakati nyingine ya kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania. Kwa hiyo updated list toka kwenye thread inayoelezea fitina zako kwa nchi yetu ya awali inakuwa hivi:

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.

Mbona yote hayo ni orodha ya kufikirika tu; ukiulizwa onesha hata mahali pamoja ambapo nimefanya hayo hauwezi zaidi ya kuruka kimanga. Utawala wenu umeshindwa, sera zenu zimeshindwa na muda wa kutawala fikra za Watanzania kwa kuwatia woga usio na sababu ulishapita; sasa mnatafuta wa kumsingizia. Bahati mbaya sana hamuwezi kumpata kwa mwanakijiji kwani watu wanaangalia matendo yenu na udhaifu wa uongozi wenu na matokeo mabaya ya sera zenu kwa taifa na wanazidi kupitisha hukumu kali dhidi yenu na uzao wenu. Mmebakia watu wa kutapatapa; msipoangalia mwisho mtamsingizia Mungu kwa kushindwa kwenu.
 
Naungana na Mzee Mwanakijiji.

Ubaya haukosolewi kwa ubaya. Kinachohitajika ni kuonyesha utu wetu kwa kila mtu.
Wanyarwanda hawakuja baada ya Rais Kikwete tuzozana na Kagame. Ameingia tangu zamani na hivyo haionekani urgency ya kutatua tatizo la miaka 40 au zaidi kwa siku 14 alizotoa.
Tukumbuke kuwa marais wote walitoa mawazo yao bila kuwauliza wanaoathirika kwa sasa: yaani Rais Kikwete hakuitisha referendum kumueleza jinsi ya "kumshauri" Kagame na vile vile Kagame hakuwaomba wanyarwanda kumpa jibu kwa Kikwete.
Logically, kupigana kwao kusilete mzozo wa ki-nchi!

Anjo
 
Hii ni dalili kuwa unaona aibu kwa chuki ulizoanza kuzisambaza. Watu wanaokusoma humu na waliosoma thread yako ambayo ilibidi ifutwe immediately kwa kueneza chuki mbaya,wanaona jinsi malengo yako yasivyo mema. Ndio maana mgomo wako wa simu UMEFELI...

Kuna thread moja iliorodhesha baadhi ya harakati zako za kuchochea chuki na vurugu nchini. Sasa kwenye ile list umeongeza harakati nyingine ya kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania. Kwa hiyo updated list toka kwenye thread inayoelezea fitina zako kwa nchi yetu ya awali inakuwa hivi:

Miongoni mwa vurugu alizochochea Mwanakijiji ni pamoja na :
kutetea wahamiaji haramu wanaoua watanzania
kuhamasisha walimu wasifundishe wanafunzi
Kuhamasisha madaktari wasitibie wagonjwa
Kuhamasisha watu wasilipe kodi
Kumchochea Kadinali Pengo aanzishe vita
Kuhamasisha watanzania kususia mchakato wa Katiba Mpya
Kuhamasishwa wananchi waikataze serikali kununua mitambo ya kuzalisha umeme
Kusambaza habari za uongo juu ya Rais wa Nchi
Kuhamasisha chama cha siasa kuanzisha kikundi cha vurugu
Kuhamasisha watu waukatae Muungano
Kuhamasisha wananchi wakatae kushiriki shughuli za maendeleo.
Mkuu umesahau hili;
Kuhamasisha watu wapate ukimwi kwa kuandika kitabu hiki
51p1TyRMyEL._SY346_PJlook-inside-v2,TopRight,1,0_SH20_.jpg
 
mimi naona wizara a mambo ya nje, haimsaidi Raisi, ninaona wenzetu wa ug na Rwanda wanatuzidi kidiplomasia, ndio maana umesikia Rwanda wanasema hawatafukuza mbongo, ug wametua Mbongo ambaye alikuwa Mke wa Mganda kama balozi wao Kenya
 
Mzee Mwanakijiji, sitaki kushawishika kwamba unalenga kupotosha jamii ya waTanzania kwa namna yoyote ile. Mara nyingi Mwl Nyerere ametumika kama "Yard stick" katika mazingira tofauti tofauti. Hata hivyo lazima tutambue kuwa Nyerere alikuwa Binadamu kama wengine, tofauti pengine ni kwamba alikuwa na karama nyingi kulinganisha na hao wengine. Pamoja na yote kama Mwalimu alikosea katika hili unalolizungumzia leo haimaanishi kuwa sasa tuhalalishe hayo makosa. Kama yanawezekana leo yafanyike yote.

Quotations zako pengine hazina uhusiano na haya maamuzi. mfano quotes za katiba; nafikiri ni katiba ya Tanzania ndiyo umelizungumzia, kwa maana hiyo hata kama haijatajwa kuwa ni watu gani, iko wazi kabisa kwamba hiyo katiba inazungumzia watu walioko ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama raia halali, aidha kwa kuzaliwa ama kwa kuhamia kupitia taratibu zinazokubalika kisheria. Ama utuambie kwamba kuna katiba ya East Africa, Africa au Dunia.

Kilichozungumzwa ni wahamiaji haramu waliojipenyeza mitaani kwetu. Tumeona wahamiaji wakimbizi jinsi wanavyoshughulikiwa kwa kufwata sheria na taratibu zingine. Mzee Mwanakijiji utuambie ulitaka nani atoe hiyo kauli. Haijalishi imetolewa kwa wakati gani, la msingi hapa ni kwamba tunalinda maslahi ya taifa na kujali usalama wa watu wetu na mali zao. Sheria iko wazi, warudi, wanaohitaji kuja Tz wafate sheria za uhamiaji. Hao waTanzania walioko huko kwingine pia ni haramu tu kama awakufwata taratibu na sheria za uhamiaji-hili lisiwe excuse!

Pengine Mzee Mwanakijiji ningekuelewa endapo ungejikita kuzungumzia swala la Muda-je muda wa wiki mbili unatosha kufanya maandalizi ya kuhama na kurudi makwao?? je wale waliolima mazao yao yatakuwa yamekomaa na kuvunwa ili waondokenayo kujikinga na njaa?? Na vipi wale wenye wadeni wao (wenyeji), watakuwa wamekusanya vilivyo vyao kwa muda huo!? kwangu mimi nafikiri MUDA ndiyo tatizo, ila wahamiaji haramu waondoke tu!

Kwa upande mwingine pia, serikali isitulaghai waTanzania. Tuna matatizo mengi ya msingi ambayo yanagusa maisha ya waTanzainia wote, ambayo kwa ujumla wake ni uhalifu dhidi ya maisha yetu sote: Mfano: ufisadi, rushwa, uvunjifu wa haki za binadamu,mauaji ya ovyoovyo na madawa ya kulevya, ambavyo vimefanya maisha ya waTanzania wote kuwa magumu, mbona mkuu wa kaya hatoi hizi wiki mbilimbili hili haya mambo yashughulikiwe?? kuna nini katika hili la Uhamiaji haramu???
IT is my opinion though...
 
Tatizo la Mwanakijiji ni kutokuijua Tanzania vizuri.

Yaani macho yake yameishia kuona kwamba wahamiaji haramu ni swala linalohusu chokochoko za kagame. Hujui kabisa kuwa Tanzania kuna sehemu huwezi kusafiri bila escort ya polisi kwa sababu ya wahamiaji haramu.

Hivi hao waganda unaowazungumzia walikuwa wanazuia watanzania kufanya movements zao nchini kwao?

Kumchukia kwako Kikwete kunakufanya kila analosema au kulifanya utafute jinsi ya kulipinga!

By the way, unapomlinganisha Nyerere na Kikwete unataka kujustify nini???

Chuki itakupeleka kubaya Mwanakijiji.
Tatizo la wahamiaji haramu halijaanza leo, ni la muda muda mrefu, na haliko kagera tu, mipakani pote watu wanaingia TZ kama kwao. pia ukumbuke kuwa hawa wametapakaa nchi nzima kwa sasa, so ningetegemea rais aongelee wahamiaji wote, yaani iwe ni operation ya taifa Zima. Kimsingi timing ya uamuzi huu wa rais, na aina ya wahamiaji ambao tunajua ndo wataathirika sana na tamko hili wanaeleweka, so nahisi uamizi n wa jazba iliyotokana na kutuolewana kwake na kagame,
 
Back
Top Bottom