Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Suala la kero za wakopeshaji wa mitandaoni limekuwa kero kubwa. Kila ukiperuzi mtandao wowote Tanzania usipotumia VPN matangazo ya mikopo yatajazana mbele yako mpaka kero.
Kwa wakopaji kero wanazokutana nazo ni pamoja na kudaiwa pesa kabla ya siku ya makubaliano, kudhalilishwa, watu wanadhalilishwa na kutukanwa na wahudumu kabla siku halali ya malipo.
Kuuza taarifa sehemu B.
Yaani ukikopa sehemu A, na ukawa mlipaji mzuri wanauza taarifa sehemu B, unaanza kypigiwa simu kila siku ya kukutaka ukope kwenye app yao.
Kero nyingine ni kubadilishiwa kiwango cha pesa ya mkopo huku tayari ushakubali na huwezi ku deny maana hakuna option ya ku cancel.
Ndugu, marafiki na wengine kusumbuliwa bila sababu za msingi na wengine wanatishwa.
Nimewahi kuwa mkopaji huko ila sasa sikopi tena. Nasumbuliwa sana wakipiga simu wakitaka nikope tena.
Serikali iko kimya, dhuluma kwa Watanzania ni nyingi
Hii inatoa picha kuwa wenye pesa sasa wamekuwa na nguvu kubwa sana. Untouchable.
Ni vigumu sana kumfundisha kijana kuwa mzalendo kwenye nchi ambayo tajiri ana nguvu kuliko serikali.
Hata haya mabenki yanatunyonya sana.
Nimekopa juzi ml. 17 miaka 9 nitalipa mil. 35, hapo ningekopa microfinance kama finca, Bank ABC ningelipa hata millioni 40.
Suala la kero za wakopeshaji wa mitandaoni limekuwa kero kubwa. Kila ukiperuzi mtandao wowote Tanzania usipotumia VPN matangazo ya mikopo yatajazana mbele yako mpaka kero.
Kwa wakopaji kero wanazokutana nazo ni pamoja na kudaiwa pesa kabla ya siku ya makubaliano, kudhalilishwa, watu wanadhalilishwa na kutukanwa na wahudumu kabla siku halali ya malipo.
Kuuza taarifa sehemu B.
Yaani ukikopa sehemu A, na ukawa mlipaji mzuri wanauza taarifa sehemu B, unaanza kypigiwa simu kila siku ya kukutaka ukope kwenye app yao.
Kero nyingine ni kubadilishiwa kiwango cha pesa ya mkopo huku tayari ushakubali na huwezi ku deny maana hakuna option ya ku cancel.
Ndugu, marafiki na wengine kusumbuliwa bila sababu za msingi na wengine wanatishwa.
Nimewahi kuwa mkopaji huko ila sasa sikopi tena. Nasumbuliwa sana wakipiga simu wakitaka nikope tena.
Serikali iko kimya, dhuluma kwa Watanzania ni nyingi
Hii inatoa picha kuwa wenye pesa sasa wamekuwa na nguvu kubwa sana. Untouchable.
Ni vigumu sana kumfundisha kijana kuwa mzalendo kwenye nchi ambayo tajiri ana nguvu kuliko serikali.
Hata haya mabenki yanatunyonya sana.
Nimekopa juzi ml. 17 miaka 9 nitalipa mil. 35, hapo ningekopa microfinance kama finca, Bank ABC ningelipa hata millioni 40.