Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
 
Kama "tuliyohadithiwa" yalifanyika kweli basi si kitendo chema, kwa mtu kama TAL ambaye serikali hii hii imemtia kilema cha kudumu.
 
Ni wakawaida tu,Kuna wengi tuliikataa hii kazi ya kuumiza wengine eti kisa amri kutoka juu.
Ajira ya police ni ajira ambayo Haina dhamana, akitimuliwa Leo hawezi enda kukata RUFAA popote.

Nina ndugu yangu askari, Huwa nawaza sana Kila ninapofikiria kuhusu mazingira ya KAZI yake!!
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
shalom,

nadhani ni ile kiburi, ujuaji na ubishi ako nao na sympathy syndrome ambayo anadhani itazingatiwa na polisi wanapopambana na magenge ya kihalifu na yeye akiwa ndani yake 🐒
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Hao hao police Mwangosi walimuuwa akiwa na camera yake mkononi.
 
Ajira ya police ni ajira ambayo Haina dhamana, akitimuliwa Leo hawezi enda kukata RUFAA popote.

Nina ndugu yangu askari, Huwa nawaza sana Kila ninapofikiria kuhusu mazingira ya KAZI yake!!

Polisi wengi wakistaafu wanaishia kuanzisha kampuni "bubu" za Ulinzi!
 
..Mama anataka fomu moja sio ktk Ccm tu, bali ktk nchi nzima.

..Kwa hiyo hata wapinzani hawatakiwi kuonyesha nia ya kugombea Uraisi.

..Msigwa amejiriwa kuhakikisha anamshambulia na kumchafua Mbowe ili amkatishe tamaa kugombea Uraisi.

..Lissu naye ikiwezekana atiwe ulemavu mkubwa zaidi, au afungwe, ili asiweze kugombea.

..Mama Abduli anataka kupita bila kupingwa 2025.
 
..Mama anataka fomu moja sio ktk Ccm tu, bali ktk nchi nzima.

..Kwa hiyo hata wapinzani hawatakiwi kuonyesha nia ya kugombea Uraisi.

..Msigwa amejiriwa kuhakikisha anamshambulia na kumchafua Mbowe ili amkatishe tamaa kugombea Uraisi.

..Lissu naye ikiwezekana atiwe ulemavu, au afungwe, ili asiweze kugombea.

..Mama Abduli anataka kupita bila kupingwa 2025.
Hilo la kupita bila kupingwa halipo.

Viti maalum wenyewe hupitia mchujo, iweje Kwa nafasi ya juu ya nchi?
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏


Wewe kumbe Div 0 kabisa

Kuwa mlemavu au kuwa na tatizo la kiafya sio sababu ya kuvunja sheria, hata hilo hujui?

Tena aliye mlemavu au mwenye tatizo la kiafya, huwezi mkuta anaandamana au kuchochea maandamano barabarani na yeye yuko, huyo sio mlemavu au mwenye tatizo la afya..!!

Polisi wakikukuta barabarani au kwenye maandamano waliokataza na wametoa amri mtu asiwepo katika maandamano alafu wewe ukikutwa unaanza kujitetea jamani mimi na tatizo la kiafya au mimi ni mlemavu wala hawana muda wa kukusikiliza ni kupigwa Tanganyila jeki mpaka ulie sana, sbb mlemavu au ukiwa mgonjwa unafanya nini kwenye maandamano? Hakuna mtu kujificha eti mimi mlemavu msiniburuze au kunipiga Tanganyika jeki, unapigwa tena kwa speed hadi ujue kumbe hawa polisi hawana utani na mtu ukivunja sheria au ukikataa kutii sheria bila shuruti
 
Back
Top Bottom