Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
It's only when Judas betrayed Christ, that the Pharisees were emboldened to crucify him.​
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
Chuki niliyonayo na askari wa nchi hii ipo siku mtanisoma magazetini na mitandao ya kijamii..ujinga huwa sipendi
 
..Mama anataka fomu moja sio ktk Ccm tu, bali ktk nchi nzima.

..Kwa hiyo hata wapinzani hawatakiwi kuonyesha nia ya kugombea Uraisi.

..Msigwa amejiriwa kuhakikisha anamshambulia na kumchafua Mbowe ili amkatishe tamaa kugombea Uraisi.

..Lissu naye ikiwezekana atiwe ulemavu mkubwa zaidi, au afungwe, ili asiweze kugombea.

..Mama Abduli anataka kupita bila kupingwa 2025.
Huyu mama sijui kapatwa na nini!

Nadhani naye anatamani sana kuuona ule mkono unaoandika ukutani kama mtangulizi wake.

Asisahau tu kwa Afrika hii nchi ni special, wananchi wamelala ila vimbwanga vikizidi Mungu anabalansi mizani
 
Wewe kumbe Div 0 kabisa

Kuwa mlemavu au kuwa na tatizo la kiafya sio sababu ya kuvunja sheria, hata hilo hujui?

Tena aliye mlemavu au mwenye tatizo la kiafya, huwezi mkuta anaandamana au kuchochea maandamano barabarani na yeye yuko, huyo sio mlemavu au mwenye tatizo la afya..!!

Polisi wakikukuta barabarani au kwenye maandamano waliokataza na wametoa amri mtu asiwepo katika maandamano alafu wewe ukikutwa unaanza kujitetea jamani mimi na tatizo la kiafya au mimi ni mlemavu wala hawana muda wa kukusikiliza ni kupigwa Tanganyila jeki mpaka ulie sana, sbb mlemavu au ukiwa mgonjwa unafanya nini kwenye maandamano? Hakuna mtu kujificha eti mimi mlemavu msiniburuze au kunipiga Tanganyika jeki, unapigwa tena kwa speed hadi ujue kumbe hawa polisi hawana utani na mtu ukivunja sheria au ukikataa kutii sheria bila shuruti
Sheria ipi nchini inazuia maandamano na HAKI ya kukusanyika Kwa shughuli za kisiasa?
 
Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?
Lisu aanze kwa kujihurumia yeye mwenyewe kwanza kwa kuepuka kuwa kwenye mikusanyiko kama hiyo inayoashiria kutokea kwa vurugu. Angekuwa mtu mwenye akili timamu angeshang'amua hilo kitambo sana. Kuwa mlemavu haiwezi kuwa excuse ya kushiriki kwenye kwenye mikusanyiko ya uvunjifu wa sheria na kutaga kuvuruga amani kwenye jamii. Vinginevyo polisi watafanya kazi yao bila kujali kuwa wewe ni kilema au la!
 
Chuki niliyonayo na askari wa nchi hii ipo siku mtanisoma magazetini na mitandao ya kijamii..ujinga huwa sipendi
Mbaya zaidi ukikaa ukatulia utajua kuwa hao askari hawatoki nje ya Nchi,

Ni ndugu zetu na watoto wetu wanaoingia huko kutafuta kujikimu kimaisha.

Tufuate Sheria na Katiba ya nchi, tuheshimiane, vita ya wenyewe Kwa wenyewe Si njema.
 
Sheria ipi nchini inazuia maandamano na HAKI ya kukusanyika Kwa shughuli za kisiasa?

Kaulize Polisi, ukifika waambie nimekuja, sheria ipi inazuia kuandamana, ukikosa nenda kaandamane, alafu uje JF useme nini kiliendelea, hakuna nchi kila mtu atajifanyia mambo yake tu, TII SHERIA BILA SHURUTI, la sivyo, SHURUTI ITATUMIKA KWA NGUVU ILI UTII SHERIA
 
Mbaya zaidi ukikaa ukatulia utajua kuwa hao askari hawatoki nje ya Nchi,

Ni ndugu zetu na watoto wetu wanaoingia huko kutafuta kujikimu kimaisha.

Tufuate Sheria na Katiba ya nchi, tuheshimiane, vita ya wenyewe Kwa wenyewe Si njema.
Nchi hii tusipouana kamwe hatutaheshimiana.
Niko serious sana katika hili na sitarudi nyuma katika hili.
Kuna mahali askari walishalijua hili kuwa sitanii.

Last week kidogo niwavunje wawili
 
IMG-20240624-WA0037.jpg
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
kule tarime walimchaniaga nguo, hawa jamaa mh,
 
Nchi hii tusipouana kamwe hatutaheshimiana.
Niko serious sana katika hili na sitarudi nyuma katika hili.
Kuna mahali askari walishalijua hili kuwa sitanii.

Last week kidogo niwavunje wawili
labda mandojo, sasa unataka kuua nani?
 
Chuki niliyonayo na askari wa nchi hii ipo siku mtanisoma magazetini na mitandao ya kijamii..ujinga huwa sipendi
wamekuwaje tena siwamewaachia, sasa sugu hawezi kujaza watu hata stand hadi msaada wa costa kutoka ilala
 
Yaani kwenye dini tunapigwa, kwenye Siasa nako ni vipigo kwa kwenda mbele, Afrika nani ameturoga jamani?
 
Wewe kumbe Div 0 kabisa

Kuwa mlemavu au kuwa na tatizo la kiafya sio sababu ya kuvunja sheria, hata hilo hujui?

Tena aliye mlemavu au mwenye tatizo la kiafya, huwezi mkuta anaandamana au kuchochea maandamano barabarani na yeye yuko, huyo sio mlemavu au mwenye tatizo la afya..!!

Polisi wakikukuta barabarani au kwenye maandamano waliokataza na wametoa amri mtu asiwepo katika maandamano alafu wewe ukikutwa unaanza kujitetea jamani mimi na tatizo la kiafya au mimi ni mlemavu wala hawana muda wa kukusikiliza ni kupigwa Tanganyila jeki mpaka ulie sana, sbb mlemavu au ukiwa mgonjwa unafanya nini kwenye maandamano? Hakuna mtu kujificha eti mimi mlemavu msiniburuze au kunipiga Tanganyika jeki, unapigwa tena kwa speed hadi ujue kumbe hawa polisi hawana utani na mtu ukivunja sheria au ukikataa kutii sheria bila shuruti
Kwani kavunja Sheria? Mbona hajapelekwa mahakamani?
 
Mbaya zaidi ukikaa ukatulia utajua kuwa hao askari hawatoki nje ya Nchi,

Ni ndugu zetu na watoto wetu wanaoingia huko kutafuta kujikimu kimaisha.

Tufuate Sheria na Katiba ya nchi, tuheshimiane, vita ya wenyewe Kwa wenyewe Si njema.
Ni mamluk toka zanzbar.hawana uchungu na watanganyika ndyo mana awadh alimpiga sugu bila huruma
 
Yaani kwenye dini tunapigwa, kwenye Siasa nako ni vipigo kwa kwenda mbele, Afrika nani ameturoga jamani?
UMOJA unahitajika,

Kundi linalotuhujumu ni dogo sana kama tone la maji ndani ya bahari. Tushikanane.
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
Tundu Lissu ni nani asiburuzwe!
 
Back
Top Bottom