Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Pre GE2025 Swali: Ujasiri wa kumburuta Tundu Lissu mnautoa wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nakumbuka, alikuwa akitetea wananchi dhidi ya waporaji wa Dhahabu yetu Toka nje.
mtu ambaye familia yake inatunzwa na wazungu ubelgiji anakuteteaje? hebu aonyeshe hata dawati moja alilowanunua wana ikungi? ukitaka kuiondoa africa kwenye umasikini utapigwa vita kila kona ya dunia, wazungu hawaamini kama africa inaweza kuwa na treni ya umeme. Fitina lazima zitengenezwe na lazima tusimame imara kuchunga nchi yetu.
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
Ikiwa anajua kabisa kuwa ni mlemavu, basi asitumie udhaifu huo kuvuruga amani.
Pakichafuka hapa mwenzetu anakwenda kwao Ubeleji
 
Wewe kumbe Div 0 kabisa

Kuwa mlemavu au kuwa na tatizo la kiafya sio sababu ya kuvunja sheria, hata hilo hujui?

Tena aliye mlemavu au mwenye tatizo la kiafya, huwezi mkuta anaandamana au kuchochea maandamano barabarani na yeye yuko, huyo sio mlemavu au mwenye tatizo la afya..!!

Polisi wakikukuta barabarani au kwenye maandamano waliokataza na wametoa amri mtu asiwepo katika maandamano alafu wewe ukikutwa unaanza kujitetea jamani mimi na tatizo la kiafya au mimi ni mlemavu wala hawana muda wa kukusikiliza ni kupigwa Tanganyila jeki mpaka ulie sana, sbb mlemavu au ukiwa mgonjwa unafanya nini kwenye maandamano? Hakuna mtu kujificha eti mimi mlemavu msiniburuze au kunipiga Tanganyika jeki, unapigwa tena kwa speed hadi ujue kumbe hawa polisi hawana utani na mtu ukivunja sheria au ukikataa kutii sheria bila shuruti
Kuna sheria ya kukataza maandamano ya amani nchini kwenu.?

Ccm wakifanya maandamano sikosa ila kosa ni chadema?

Mmewachukulia hatua gani vijana wa ccm wanaotoa kauli za kuua watu katika nchi?
ccm ni wabaguzi,watekaji, wadhulumaji, wauwaji, wasioweza kushindwa na kutotaka ushindani kwenye harakati kisiasa yote hayo wanayafanya ili kuwapunguza nguvu upinzani.

Wacheni kuwatumilia policcm kwa maslahi yenu yasiyonamacho.

Nchi mmekuwa nayo miaka 60 sasa la maana halipo labda kusifia yasiyokuwepo na kuwadhibiti wapinzani wasifanye harakati zao za kaisiasa.
 
Hivi hiyo video yenye ushahidi wa huko kuburuzwa haipo ili wahusika wagaragwazwe?
 
Salaam, Shalom!!

Wote tunajua masaibu yaliyomkuta TUNDU Lissu, Hadi tunavyoongea risasi Moja haijatolewa mwilini mwake.

Hakuna askari Nchi hii asiyemjua TUNDU Lissu na Hali yake kiafya na ulemavu aliosababishiwa, mliowatuma askari kumburuta TUNDU Lissu mtetezi wa Haki za wananchi mnalenga kujenga taswira Gani katika JAMII?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

Swali: Niambieni nini Kiko nyuma ya unyama huu dhidi ya Tundu Lissu?

Kwani ni LAZIMA kutonesha majeraha yaliyoanza kupona?

Tanzania Nchi yangu 🇹🇿, umebarikiwa sana na Mungu. Atajibu tena.

Karibuni 🙏
Nadhani tatizo wanalo Watu wa CHADEMA wenyewe, masaibu kama hayo yaliyowakumba ni mchezo ambao wapinzani wamekuwa wakifanyiwa miaka yote kabisa tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania.Je, kwa nini wamekuwa hawachukui hatua kali ili kukomesha hali Kama hiyo isijitikeze Tena????? Why??

Anyway, ingekuwa kwenye nchi za wenzetu zenye 'Watu wenye akili timamu sawa sawa kabisa,' basi janga kubwa lililowakuta hawa Wapinzani lingegeuzwa kuwa "fursa."
 
Kilema sasa atulie na ukilema wake. Akichezea amani na utulivu wa TAIFA lazima aburutwe. TAIFA ni kubwa kuliko utundulisu wake.
 
Kilema sasa atulie na ukilema wake. Akichezea amani na utulivu wa TAIFA lazima aburutwe. TAIFA ni kubwa kuliko utundulisu wake.
Siasa za mabavu ziliahashindikana Nchi hii.

Wote tutaelewana tu.
 
Lissu ni mwanasheria overated sana. Kesi zote za mazingira alizowahi kushinda zilikuwa nyeesi sana. Alipoongoza jopo la la CHADEMA dhidi ya Zitto alibwagwa vibaya sana na Albert Msendo
 
Back
Top Bottom