[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mpaka machozi yametiririkaWangu sijui kama nitawakuta, maana unaleta mmoja unamuingiza kwenye noah, unafuata mwingine, ukirudi unakuta yule wa mwanzo kachukuliwa maana ni x wa mtu mwingine pia. Ah boda tu itatosha kumbeba mmoja nitakaye mpata wa kwanza
Huku kwetu herii japo naenda kudoea kwa watuEeeeh mamy x mas huko kwenu vipi?
Ndio ndioNdo hivyo sikukuu inanoga ubadilishe mazingiraaa
Tatizo nyie mtu akijisema umalaya ndio mnaona yuko real, kusema nywele ameagiza mara amenunua hapahapa ndio kuwa real?Kawaidaaaa hiyo ndo maana nampenda gigy yuko real sana
Gift anakuaga na uchizi. Anasemaga ye anaongeaga watu wanachotaka kukisikia hata kama ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo nyie mtu akijisema umalaya ndio mnaona yuko real, kusema nywele ameagiza mara amenunua hapahapa ndio kuwa real?
Sizungumzii suala la kuvaa nazungumzia suala la mapenzi na kuongea mambo aliyopitia hajui kuficha ukweli hasa kama mambo ya mapenzii kapitia wapi na kafanya nn ndo amejipangia labda utakuwa umeelewa tofaut na ninachomaanishaTatizo nyie mtu akijisema umalaya ndio mnaona yuko real, kusema nywele ameagiza mara amenunua hapahapa ndio kuwa real?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gift anakuaga na uchizi. Anasemaga ye anaongeaga watu wanachotaka kukisikia hata kama ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahha ujue nimecheka sana
Kabisaa kuna mmoja alinipigia sm eti mambo mke wangu naanza kumuuliza wee nan akasema khaaaa Demiss wa kunisahau mm fulan khaaa nilichoka
No ni mwanafunzi nataka mfundisha Forex..ucipate mshtuko madam cha mdeko.........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uzinzi mpaka kwenye sikukuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nigesabu nitakuja kukomenti kesho, sitaki mtu akose siti