SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

Sasa unahisi Child pornography sio hatari kwa usalama wa marekani au unahisi hatari ipo kwenye issue nyingine tu au??
Ukisema hivyo hata Kukata Miti itakuwa inashughulikiwa na FBI, maana nayo inaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi.
 
Kufanya kazi juu ya meza ndo nn

Kufanya kazi chini ya meza ndo nn
Intelligence inafanyika kwenye kificho.
Upolisi ni kazi ya kijamii, ndio maana kuna nchi wanaita kabisa "Police Service"
 
Wanakuonyesha tu watu wako kwenye vyumba vya giza. Pitia bookshop, tafuta vitabu vya Nigel West; ana madini mengi sana.
Siwezi kukukatalia kuhusu hilo kutokana na uwezo wako unavyoelewa mambo....

Polisi hawawezi kuwa Kama FBI hata siku moja....

Polisi wanafanya kazi kijamii kwa hiyo makosa ya jinai yanachunguzwa kwa uwazi tu...
 
Siwezi kukukatalia kuhusu hilo kutokana na uwezo wako unavyoelewa mambo....

Polisi hawawezi kuwa Kama FBI hata siku moja....

Polisi wanafanya kazi kijamii kwa hiyo makosa ya jinai yanachunguzwa kwa uwazi tu...
Mpaka sasa hivi unazunguka tu au nikuulize swali jepesi, ni idara gani inachunguza makosa ya jinai Marekani?
 
Unamkosoa mwenzio badala ya wewe kusema ukweli ila ndo umekuja kuharibu, maelezo ya mleta mada yapo sahihi kwa 100%.
 
Unamkosoa mwenzio badala ya wewe kusema ukweli ila ndo umekuja kuharibu, maelezo ya mleta mada yapo sahihi kwa 100%.
Mada yake iko sahihi ila ametumia maneneo hayo vibaya; hata ukiwauliza wataalum wa kiswahili watakafufafanunia. Ujasusi ni zaidi ya kupeleleza; ujasusi hufanyika kisiri sana wakati upelelezi hufanyika hadharani tu. Ni vivyo hivyo, CIA hufanya kazi zake gizani wakati FBI hufanya hadharani tu.
 
Wote hao wapo chini ya Homeland Security...Director wa hii taasisi ndio ana organise reports zote za mashirika mengine kwa ajili ya briefing kwa Rais daily
 
Kwani nani ambaye amebisha kwamba FBI ni domestically nianzie hapo kwanza......

Ila uelewa wako ndo umeishia hapo mm niliielezea hiyo Tv show ili kuleta logic....

Na wewe pia kwa nn usiwe mjuaji pia kwani inakatazwa....
Bahati mbaya sana huwa sifanyi argument na Idiots ka nyie,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…