Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Juzi wamezingua Canada, wakasnza kudai kitimoto iondoleww katika oridha ya vyakula mashuleni. Serikali ikawajibu wawe na nidhamu na tamaduni na taratibu za watu. Kama wameukuta hui utaratibu wana wajibu wa kuufuata, kama hawawezi wanaweza wakaondoka.
Ritz, FaizaFoxy, The Boss na THE BIG SHOW hawa hawana nongwa, wanakula kitimoto kwa raha zao, sema tu hawajitangazi
 
Wagalatia wana maisha matamu kuliko ya peponi
 
Naunga mkono 100%
 
Ni sawa, lazima nchi ilinde maslahi ya watu wake. Kama mgeni analeta fujo, arudi kwao
 
Wazungu hawana akili kama hizo hawawezi kulazimusha mtu mwenye karatasi sahihi kulejeshwa makwao, soma habari kwa undani sio kukurupuka chuki zako, wazungu ni wahalufu kuliko wa iraq katika murder na ubakaji.
 
Alafu Pepo yao ni Kumsifu Mungu wao na Party after Party😁 Mambo ya Mademu no! Kila siku Nyagi na manyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…