Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Haya majitu n ya kutimua na viboko
Mbona mnatimuliwa na wazungu nyumbani kwenu kwa viboko tena kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya majitu n ya kutimua na viboko
Naunga mkono hoja. Wawafukuze wote.View attachment 3120461Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.
Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?
Mimi sijaleta habari ya kuchomwa kanisa Sweden . Huyo aliyeleta mwambie atumetee source ya hizo habari.na wewe unaweza ukathibitisha hicho unachokifahamu? (source)
Mademu wazuri, hakuna kingineKinachowapeleka kwa Wanaowaita Makafiri ni nini?
Naunga mkono hoja. Wawafukuze wote.
ZaoMtu unatoka Nchini kwako unaenda kwenye Nchi ya watu Makafiri wenye ranch za nguruwe kila kona na supermarket zilizojaa hizo Haram, Bar kila kona na kila aina ya kilevi kipo, Viwanda vya kurekodi Pornograph, Night Clubs n.k unaacha kwenda kwenye nchi zenye Waislam zinazoongozwa na Sharia za Kiislam 🤣🤣🤣
Mbaya zaidi, unapeleka sheria na tamaduni zako kuanzia mavazi n.k 🤣🤣
Ukiondolewa Unalalamika na kulialia
Si Mrudi Iraq? Si kuna Lebanon, Egypt, Saudi Arabia, Oman na Yemen?
Mnatafuta nini kwa Wagalatia??
Warudi kwao wakajenge nchi zao.Mlivyo wajinga Hao wa Iraq wengi ni wakristo na ndio walikimbilia nchi Za Ulaya wakidai wananyanyaswa na waislamu walifikiri wazungu ni wakristo wenzao , kumbe ukristo ulishasahauliwa zamani ulaya
Wasomi hawawarudishwi hata siku moja na Ulaya kwenye mahospitali, ma university wamejaa wengine ni viongozi wa vyama vikubwa Kama Denmark , Sweden, UkWarudi kwao wakajenge nchi zao.
Huko Morogoro wametapakaa wanataka kuiteka yote, sasahivi wapo mpaka Mtwara hukoHao wavaa kobazi tabia zao nikama wasukuma,wasukuma wakiingia sehemu wanataka lugha yao ndo itumike tu na miziki yao Basi afu watajirike wao tu 😂 😂😂,
Zao
Hao si watakutana nao Ahera? Tena Mabikira kabisaMademu wazuri, hakuna kingine
Naunga mkono hoja. Wawafukuze wote.
Wapuuzi sana afu wanaharibu mazingira balaa kukata miti n.kHuko Morogoro wametapakaa wanataka kuiteka yote, sasahivi wapo mpaka Mtwara huko
Mnaelekea kwa mashoga Sasa 😜😜😜Kule Israel hawacheki na kima mpalestina akihusika kuua muisrael wanakuja na kubomoa nyumba nzima na mnarudishwa Gaza nyote.
Wewe Jagina, kila mchango wako humu lazima uzungumzie Ushoga.Mnaelekea kwa mashoga Sasa 😜😜😜
Sweden na nchi zote za dunia ya kwanza hiwa wanajitahidi sana kulinda sheria za kimataifa na haki za binaadamu, utakuja kesho kutupa majibu hilo zoezi sweden hawatolitekelezaView attachment 3120461Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.
Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?
Juzi wamechoma kanisa kubwa sana Canada.Juzi wamezingua Canada, wakasnza kudai kitimoto iondoleww katika oridha ya vyakula mashuleni. Serikali ikawajibu wawe na nidhamu na tamaduni na taratibu za watu. Kama wameukuta hui utaratibu wana wajibu wa kuufuata, kama hawawezi wanaweza wakaondoka.